Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Mie pia nishawahi kutana naye was kihivyo, Nil8achwa Ghafla tu bila sababu tena had I nikashangaa, Alisema tu hajisikii tens kuwa na mm after 4 months yangu tuwe pamoja,

Kitu kizuri sikuwahi kuombwa hata Mia ingawa sometimes nilikuwa najistukia, Mwanaume bila kuombwa ombwa hela hainogi hata.

Ila hadi kesho namkumbuka yule dada, Ni vile yuko smart kimwili na kiakili.
Mungu Am,bariki huko aliko.
 
Wapo wengi sana unakuta anakutumia afu anakupotezea baada ya muda anakutafuta tena kutaka umpe mambo. Sio watu wema sana kiafya.
Umesema Kweli Mkuu,

Mademu wa kihivyo, huwa nakuwa na wasiwasi nao Sana kwenye issue nzima ya afya.

Sio watu wa kuwaamini.
 
Kinachokufanya usimrudie mwanaume ni kipi? Mzigua90
Wanazinguaga tu na unakuta hajakupenda aisee. Wanawake kama Hawa hutakiwi kua na papara nao wanapojisogeza. Unatakiwa uwe na shughuli zako kama huwaoni vile. Na siku akikutunuku basi usiharakishe kumpiga miti Bali unakuwa tu romatic hivi. We jifanye hutaki sana hayo mambo. Mhudumie hiki MPE kile, mpleleke sehem kama diner au lunch. Usiwe na haraka kuomba gem. Ukimpa nice moments kabla ya sex basi anaweza kurudi na kurudi na kurudi. Kama ndo unakua huna hela kama Mimi ndo usahau kabisa kama atarudi. Nionavyo mm na uzoefu.
 
Wanazinguaga tu na unakuta hajakupenda aisee. Wanawake kama Hawa hutakiwi kua na papara nao wanapojisogeza. Unatakiwa uwe na shughuli zako kama huwaoni vile. Na siku akikutunuku basi usiharakishe kumpiga miti Bali unakuwa tu romatic hivi. We jifanye hutaki sana hayo mambo. Mhudumie hiki MPE kile, mpleleke sehem kama diner au lunch. Usiwe na haraka kuomba gem. Ukimpa nice moments kabla ya sex basi anaweza kurudi na kurudi na kurudi. Kama ndo unakua huna hela kama Mimi ndo usahau kabisa kama atarudi. Nionavyo mm na uzoefu.
Kweli nisiporudi sijakupenda na game yako haijanisisimua
 
Nina rafiki yangu ndo zake. Mpaka wanaume wakajua kaungua. Sasa hivi ana mkaka amemaliza nae masters na huyo anamuendesha kama ndama wake. Hawakutani mpaka yeye atake na anaweza akamwambia tuonane baadae anampigia simu anamwambia niko busy siku nyingine. Ana tabia za kiume jamani
 
Back
Top Bottom