ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Nimefika hospitali 1 ya serikali nilimtembekea rafiki yangu ( wa kike) aliyefika kujifungua nimesikita mno
Wodi imejaa wajawazito na vichanga
Wajawazito wanalala chini, vitandani wanalala hadi watatu, hii sio sawa
Bora wananchi wachangie huduma ila ziwe Bora, ziwepo wodi za kutosha na wake zetu wawe na usalama na stara
Wamama wanatembea uchi kwenye ka wodi, yaani hamna stara
Labor room mtu anasukuma au anaugulia uchungu kila mtu anasukia kama analia au alikunya kila mtu anajua
Serikali imeamua kuwadhalilisha wanawake
Serikali kuweni tu wawazi na waungwana kama sera ya kujifungua Bure haitekelezeki Toka ianzishwe
Mbona wananchi wanalipia huduma zingine zinazotolewa na Serikali Bure kama umeme na maji na wamezoea wala hawalalamiki
Mtu unamwaminisha kujifungua ni Bure ila gharama zinamtoka na usalama wake na mtoto unakuwa mdogo
Wodi imejaa wajawazito na vichanga
Wajawazito wanalala chini, vitandani wanalala hadi watatu, hii sio sawa
Bora wananchi wachangie huduma ila ziwe Bora, ziwepo wodi za kutosha na wake zetu wawe na usalama na stara
Wamama wanatembea uchi kwenye ka wodi, yaani hamna stara
Labor room mtu anasukuma au anaugulia uchungu kila mtu anasukia kama analia au alikunya kila mtu anajua
Serikali imeamua kuwadhalilisha wanawake
Serikali kuweni tu wawazi na waungwana kama sera ya kujifungua Bure haitekelezeki Toka ianzishwe
Mbona wananchi wanalipia huduma zingine zinazotolewa na Serikali Bure kama umeme na maji na wamezoea wala hawalalamiki
Mtu unamwaminisha kujifungua ni Bure ila gharama zinamtoka na usalama wake na mtoto unakuwa mdogo