Sielewi unamaanisha nini, waache au wawe kama wanawake wenye hiba na huba za kike?kuna wanaume wanapenda sana matom boy wa hivo
<br />demu mkali hawezi kuact usela!mademu wanaoact usela na wale watengwa!
Umenikumbusha mdada mmoja msela msela, nilipiga naye stori baadae akakaa mkao fulani baaadaaaeee nikasikia harufu fulani nzito ya chooni kwa lugha lingine alichomoa gesi ya songo songo, lol kila nikimwona aiseee
hahahaaaa mkuuu