joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,310
- 32,100
Endelea kujizihirisha tabia yako........ kuna sehemu nimekuambia unatafuta mume?What makes you think i care about how you think of my behavior, au unadhani kila mwanamke yuko humu kuigiza u wife material ili apate mwanaume, wewe unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja
Mwingine huyu hapaSijibu utoto
Wewe unizidi mimi hoja.........??? sina cha kujifunza kwenye haya mashudu yako unayo ya andika, yaani wewe mweupe kabisa kwa kifupi huna content.Ndio ukishashindwa hoja lazima umpuuze huyo aliyekuzidi hoja na muhimu zaidi ukubaliane na hoja yake
Hii umeitoa wapi?Huwa nawashangaa watu wanaowatolea mifano bibi zetu wakati ukweli ni kwamba bibi zetu walikuwa vile si kwa kupenda ila ni kwa sababu hawakuwa na sauti ya kujitetea, zamani ndoa ilikuwepo kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume tu na ili mwanaume afurahi kwenye ndoa inabidi mwanamke asacrifice furaha yake aishi kama mtumwa for the rest of her life, yani mfumo dume uliweka mazingira ya kumfurahisha mwanaume tu hata kama itamaanisha kumkandamiza mwanamke
Wewe ni mwanamke?Hivi wanaume wa jf hamuwezagi kujadili hoja bila kujadili maisha ya mtu binafsi what kind of argument is this, ushawahi kuona mahali nimesema kauli kama "wewe kwa mitazamo hiyo huwezi kuwa na mke wa maana", au "huyo mke uliyenaye ana kazi nzito namuonea huruma"
Jadilini hoja acheni ad hominem attacks zinaonesha kuwa mmeshindwa hoja, kwa sababu si lazima kila tunachojadili humu kiwe na uhusiano na maisha yetu halisi, mfano si kila anayetetea walemavu basi naye ni mlemavu kitu ambacho wanaume wengi wa jf mnalazimisha kiwe
Ndio mimi nasema wanawake wengi mnaowalalamikia na kuwaita kila aina ya majina, lazima walikutana na wanaume wahuni wakawabadili mioyo hakuna mwanamke bikira, na anayeingia kwenye mahusiano kwa mara ya kwanza bila kuwa na mapenzi ya dhati hayupo
Ooh basi namm namjua Biden nje ya ofisiUhakika ninao. Nje ya Ofisi namjua Samia ni wife material kama hujui
Endelea kujishtukia, uzuri kwenye Internet kila mtu ana uhuru wa kuongea hajalishi mzima au ana afya ya akili so haunisumbui na nakuelewa upo kwenye group.Sasa kama hayo siyo mawazo yako hayo mambo ya tabia yanaingiaje hapa yani kudhihirisha tabia yangu kunahusiana vipi na hoja iliyoko mezani, ni kama vile unanipa warning kwamba chunga tabia yako watu wakikusoma humu watajua wewe siyo wife material na utakosa mume, bro mi naijua saikolojia yenu kuliko mnavyodhani nishabishana na wanaume wengi wa aina yako humu wote mna akili finyu za kufanana
Dunia inaongozwa na ulimwengu wa ndoto/ fikra.Sasa kama hayo siyo mawazo yako hayo mambo ya tabia yanaingiaje hapa yani kudhihirisha tabia yangu kunahusiana vipi na hoja iliyoko mezani, ni kama vile unanipa warning kwamba chunga tabia yako watu wakikusoma humu watajua wewe siyo wife material na utakosa mume, bro mi naijua saikolojia yenu kuliko mnavyodhani nishabishana na wanaume wengi wa aina yako humu wote mna akili finyu za kufanana
Unataka ligi naona. Asante na kwaheriOoh basi namm namjua Biden nje ya ofisi
Pesa ya Ke yeyote ni sabufa, muda ukifika lazima mtaani utangazwe kuwa we ni Marioo hata akitumia 10% tu ya mchango wa majukumu kifamilia kwa mwezi mmoja.We jamaa!
Upendo was kweli was ke utaujua pale ke anapofanikiwa kuwa sawa na wewe au kukuzidi!!!
Mwanamke anaongozwa na hisiaSasa kwani huwa mnakubali ukweli basi uzuri hata third party akisoma hapa atajua nani mweupe, kwenye suala la mahusiano na ndoa hakuna mwanaume anayetumia logic hayupo, wengi mnaongozwa na mfumo dume tu na mfumo dume na logic ni vitu viwili tofauti yani havipatani kabisa
Lake mtu halimtapishi, ila huna contents na huna unacho kijua kwenye ndoa. We endelea kuleta ligi.Sasa kwani huwa mnakubali ukweli basi uzuri hata third party akisoma hapa atajua nani mweupe, kwenye suala la mahusiano na ndoa hakuna mwanaume anayetumia logic hayupo, wengi mnaongozwa na mfumo dume tu na mfumo dume na logic ni vitu viwili tofauti yani havipatani kabisa
Nyanya ni nini?Nyanya wangu alifariki mwaka juzi mkuu tena akiwa na uwezo wa kutembea na kuongea vizuri kabisa, mara moja moja tulikuwa tunaenda kumtembelea kijijini na kupiga naye story za hapa na pale kuhusu maisha ya zamani na ya sasa, itoshe tu kusema bibi zetu walikuwa watumwa kwenye ndoa zao na si kwamba walikuwa wanafurahia hilo
Me hawana hizo labda Wavulana, tatizo Wazazi waliwapandikizia sumu Ke mngali Watoto "Soma Mwanangu upate kazi usijenyanyaswa na Me katika ndoa" na matokeo yake ndiyo haya sasa utitiri wa single mothers kibao mitaani.Aah mkuu sijamaanisha kutotambua umuhimu wa.mume/mwanaume
Shida yenu mnapenda kuogopwa sana, mnapenda yaan kuona wenzenu watumwa nyie wamiliki akta wote ni binadamu mnatumia ile option ya kua hana kitu kumteketeza kabisa
Umeshawahi kusoma mijadala ya humu ya wanaume kuhusu mahusiano na ndoa achilia ambali kuwa sehemu ya mijadala hiyo kwa muda mrefu, labda unifafanulie maana ya kutumia logic na hisia kwenye mahusiano na ndoa kwa ujumla halafu nitakuambia ni jinsia gani inaongoza kwa kutumia hisia, mimi siyo muumini wa hiyo mifumo dunia haitakiwi kuwa na mfumo dume wala mfumo jike kila jinsia inatakiwa iachwe ijitawale yenyewe tuMwanamke anaongozwa na hisia
Mwanaume anaongozwa na mantiki(Logic)
Hii imethibitishwa kisayansi
Sasa wewe ya kusema Mwanaume hatumii mantiki umeitoa kutoka chapisho gani?
Mfumo dume ni nini?
Je? Jamii zote duniani huongozwa na mfumo dume?
Zipi faida za mfumo jike?
Kijana mtu akikupa mfano wa mtu mmoja au kitu kimoja haimaanishi kwamba huo ndio mfano pekee alionao au anaojua ni vile siwezi kuweka mifano yote hapa ila mifano ni mingi, haikunihitaji mimi kuwepo enzi zile ili niweze kujua kuwa bibi zetu wengi walipitia manyanyaso kwenye ndoa zao halafu elewa neno wengi hakuna mahali niliposema wote, ndio maana kuna somo linaitwa historia leo hii mtu ana uwezo wa kusoma yaliyotokea enzi hizo ambazo hakuwepo na bado akakuelezea kama vile alikuwepo sasa huwezi kubisha eti kisa tu hakuwepo enzi hizo hata kama anachokueleza ndio ukweli na hali halisiNyanya ni nini?
Nyanya ni nani?
Wanawake wote walio olewa miaka ya kuanzia 1935 mpaka 1960 waliteseka?
Hakukuwa na wanawake waliofurahia Ndoa yao?
Umefanya research ya wanawake wangapi wa kale kuanzia miaka 1900 mpaka 2000 waliofurahia na kunyanyasika kwenye Ndoa?
Kwa nini tusiamini huyo mtu wa kuitwa Nyanya ni Nungayembe wa enzi hizo.
Unakuwaje mwanamke wa kisasa na kuamini stori za upande mmoja?
Babu yako alisemaje?
Au ndio kiruka njia Cha enzi za mkoloni
Endelea kujizihirisha.Wewe ndio unayejishitukia sasa, so kwa sababu wewe una matatizo ya afya ya akili basi unadhani kila mtu yupo kundi moja na wewe narudia acheni personal attacks, nje ya hapa mimi sikujui na wewe hunijui kama umeshindwa hoja close the case
Mashudu.Kisa umekariri kuwa kuijua ndoa ni lazima mtu uingie humo siyo, kwahiyo wewe huwezi kujifunza kitu kupitia kwa watu wanaokuzunguka kila kitu ni hadi ukifanye mwenyewe ndio unakijua, basi bado una safari ndefu sana kwenye maisha yako
Wana point nzuri sana, ila kuna exception kwenye kila kitu.naungana na wanasema ndoa ni utapeli