Wanawake wananitumia kisha wanaondoka

Wanawake wananitumia kisha wanaondoka

Kwamba?????
Wanawake wananitumia kisha wanaondoka kwa kweri roho yangu inauma nishalala na wanawake 18🥺🥺🥺 Nina miaka 24

Mara nyingi wanajilahisisha wakitak kuzaa na Mimi

Najichukia sana 😭 nimepoteza mda na rasilimali ningekua mbali kimaisha

Wakinifata nashindwa kukataa
Wadada wamenihalibia maisha

Nina kazi nzuri Maendeleo 0😭
 
Miaka 24 ungekua wap kimaisha wakat ndo damu inazunguka utasema round about za barabara sema utoto unakusumbua na ujana ukikua utaacha na kuanza kufanya mambo ya msingi
 
Wanawake wananitumia kisha wanaondoka kwa kweli roho yangu inauma nishalala na wanawake 18🥺🥺🥺 Nina miaka 24

Mara nyingi wanajirahisisha wakitak kuzaa na Mimi

Najichukia sana 😭 nimepoteza mda na rasilimali ningekua mbali kimaisha

Wakinifata nashindwa kukataa
Wadada wameniharibia maisha

Nina kazi nzuri Maendeleo 0😭
18 ni wachache sana.

Kikao kilichopita tulijadili ili uoe na kujutia labda ufikishe ke 30.

Pole sana brother,
Kiukweli kwenye relationship usipokuwa makini na usipowekeza kwenye akili na kujifahamu, utaishia kutengeneza kipato kwa ajili ya mabinti na wanawake.

Ushauri wangu kwako.
1. Uwe na kiasi kwa wanawake.

2. Uji- control kwenye kupenda.

3. Achana na wanawake kabisa.

4. Mkabidhi Maisha yako Mungu, uachane na mengine, usubirie kupata mke wako tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom