Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

We chinembe ni mavi ujue...

Samahani,
najisikia kutukana sababu najua huna ubavu wa kunikamata wala kunitambua..

Na hao unasema ma mods zako waambie hivi:
"nitatutakana saaana mwaka huu... Si wao walijidai kunifungia last month???"
nimerudi sasa....

Mamamamamammaeee..
 
We chinembe ni mavi ujue...

Samahani,
najisikia kutukana sababu najua huna ubavu wa kunikamata wala kunitambua..

Na hao unasema ma mods zako waambie hivi:
"nitatutakana saaana mwaka huu... Si wao walijidai kunifungia last month???"
nimerudi sasa....

Mamamamamammaeee..

mkuu umevuta au?
 
nitakufa linu unastahili ban
 
Last edited by a moderator:
Najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu.!

Nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini?

Au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?

Yawezekana toilet ndan ya pub yako hazina majii ndioo maana wana zi utilise hizo tissue kama toilet paper wawekee maji masafi na yakutosha
 
Yaani watu wanashangaa,wanapiga hesabu ya buku wakati mtu mmoja anachukua tishu hata tano Mara moja NA anarudia hata Mara NNE au tano
 
Back
Top Bottom