Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu,nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini? au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?

Unafanya biashara ya juice au?
Huwezi kuniambia kama ni biashara ya bia tishu zinaweza kata mtaji, maana kadri ananyotumia tishu wewe mauzo yanapanda
 
nilijaribu,Ila akiingia toilet anaichukua toilet paper yote hata kama ni mpya,baadae zinaanza kelele kwamba toilet hakuna toilet paper

badili biashara mkuu,ama la utakua unafanyia tishu ili wadada watumie kujifutia wakienda toilet...maanake kufutia tishu ndo imekua fasheni,eti maji yana typhod
 
najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu,nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini? au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?

Jina lako lina utata, chinembe mh
 
inaonyesha biashara yako haijakomaa mwisho hata maji utakuwa huweki tulia fanya atakavyo mteja maana ni mfalme vinginevyo yatakushinda
 
hujajipanga baa zote zinazojaza wateja wana bajeti mpaka tishu za wateja sio vinywaji tu tafuta meneja msomi akusaidie utaipenda kazi yako
 
najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu,nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini? au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?

Hii ni moja ya thread za kipuuzi nilizowahi kusoma JF.....
 
najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu,nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini? au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?

Jina lako kwanza Mmmh, mteja ni mfalme/malkia
 
Badala ya kununua tissue papers, nunua savlets unapatia mtu moja tu!
 
Back
Top Bottom