Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

Wanawake wanamaliza tishu kwenye bar yangu

Wawekee shwari chooni uone kama watashika tishu zako.. Haha
 
Uwe unaweka mbilimbili ili nikifika nabeba yangu moja na maisha yanasonga
 
najua tishu inatumika kusafisha chupa au glass,lakini naona wadada hapa kila wakati tishu,tishu,tishu,nanunua tishu mpaka nataka kukatika mtaji,huwa wanazitaka za nini? au wana nia ya kunikomoa nikatike mtaji?
Unapowapa, Ndio Uwaulize Wanazitaka Z Nn?? Tishu Za Buku Buku...[emoji15] [emoji15] !!!
 
Nimeishia kucheka...thanks anyway if that was ur primary goal
 
--------...

leta mada za msingi...

Huna baa wala nini...

CHinembe wewe....
 
We msengerema Nitakutukana ujue..

leta mada za msingi...

Huna baa wala nini...

CHinembe wewe....
 
kuna watoto mabilionea itakuwa kumiliki bar!!??? Hela sio kipimo cha umri ila unayoongea watu wanaweza kukisia umri wako.....kama sio mtoto una akili za kitoto

Labda watoto waliorithi pesa so kutafuta
 
Back
Top Bottom