Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,654
- 13,924
Point, katuangusha sana mwamba. Badala ya kusimama na vidume wenzake na kutetea kambi, anaamua kutunanga.Ni mwanaume anayeitwa dume suruali akiwa hanapesa na si mwanamke kuitwa jike sketi.....Huu sio ubaguzi wa kijinsia kwako.
Mwanaume jifunze kusimama na wanaume wenzako sikuzote mzee sio kubeba hoja za ki feminist