kwa Neema na Baraka za Mungu,Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni sababu kadhaa zinazosababisha wadada kuto kuolewa mapema:-
KURINGA
Hapa unapata boy anamtafuta binti lkni binti anaaleta machejo, anamtumia text haujibu Whatsapp Ana blue tick anakausha, Yani namba Yako anakuwa kaisev kuongeza Bowers status.
OMBAOMBA
Hii acha niwaelezee kimfano kabisa, hivi karibuni nilikutana na mdada mumoja mkali Sana nikachukuwa namba tukawa tunawasiliana nikatupia ndoano akanasa lkn kabla hatujaonana Mara ya pili ndo kwanza tuna siku tatu tuu eti mdada ananiomba nimkopeshe 10k, niliposema Sina akapotea haujibu text tena Wala kupokea simu. Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume.
Embu eleza na ww sababuunazo zijuwa zinazofanya wadada wachelewe kuolewa pindi ukisoma thread hii, nikisema nizimalize zote ntakuwa sijafanya powa elezea kinaga ubaga ili tusaidie wadada wetu mitaani. Maana unakuta mdada was 1995 hajaolewa mtoto wa 2000 kaolewa ni aibu na lazima spare stress.
Mkuu hii thread yako tuu kuna majibu ya wanawake hapa naona tayari wako na hasira sana. Thread umetoa wewe ila wao ndiyo wana hasira ya kufa mtu, mara kuolewa kwani lazima mfano majibu ya Demi na Evelyn SaltMwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni sababu kadhaa zinazosababisha wadada kuto kuolewa mapema:-
KURINGA
Hapa unapata boy anamtafuta binti lkni binti anaaleta machejo, anamtumia text haujibu Whatsapp Ana blue tick anakausha, Yani namba Yako anakuwa kaisev kuongeza Bowers status.
OMBAOMBA
Hii acha niwaelezee kimfano kabisa, hivi karibuni nilikutana na mdada mumoja mkali Sana nikachukuwa namba tukawa tunawasiliana nikatupia ndoano akanasa lkn kabla hatujaonana Mara ya pili ndo kwanza tuna siku tatu tuu eti mdada ananiomba nimkopeshe 10k, niliposema Sina akapotea haujibu text tena Wala kupokea simu. Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume.
Embu eleza na ww sababuunazo zijuwa zinazofanya wadada wachelewe kuolewa pindi ukisoma thread hii, nikisema nizimalize zote ntakuwa sijafanya powa elezea kinaga ubaga ili tusaidie wadada wetu mitaani. Maana unakuta mdada was 1995 hajaolewa mtoto wa 2000 kaolewa ni aibu na lazima spare stress.
Hao wanawake wasikate tamaa hatuoi mwili tunaoa personality na akili. Mke bora sio mdogo au binti , mke bora ni yuke anaempunguzia stress mumewe katika safari yake ya kupambana. Nilishawahi kuacha mwanamke kwa sababu hanywi pombe kabisa. Watanzania tusikariri maisha, cha kufanya ni mwanamke ajiongezee thamani. Mwanamke mwenye thamani hata miaka 50 hatofikisha bila kuolewa.Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni sababu kadhaa zinazosababisha wadada kuto kuolewa mapema:-
KURINGA
Hapa unapata boy anamtafuta binti lkni binti anaaleta machejo, anamtumia text haujibu Whatsapp Ana blue tick anakausha, Yani namba Yako anakuwa kaisev kuongeza Bowers status.
OMBAOMBA
Hii acha niwaelezee kimfano kabisa, hivi karibuni nilikutana na mdada mumoja mkali Sana nikachukuwa namba tukawa tunawasiliana nikatupia ndoano akanasa lkn kabla hatujaonana Mara ya pili ndo kwanza tuna siku tatu tuu eti mdada ananiomba nimkopeshe 10k, niliposema Sina akapotea haujibu text tena Wala kupokea simu. Baada Kama ya siku tatu Nika deshi nataka namba ya kumtumia akajibu nilipiga chini sikuwa na msalie mtume.
Embu eleza na ww sababuunazo zijuwa zinazofanya wadada wachelewe kuolewa pindi ukisoma thread hii, nikisema nizimalize zote ntakuwa sijafanya powa elezea kinaga ubaga ili tusaidie wadada wetu mitaani. Maana unakuta mdada was 1995 hajaolewa mtoto wa 2000 kaolewa ni aibu na lazima spare stress.
Usituchoshe weee, nenda kaolewe upate mafanikio.....Mkuu hii thread yako tuu kuna majibu ya wanawake hapa naona tayari wako na hasira sana. Thread umetoa wewe ila wao ndiyo wana hasira ya kufa mtu, mara kuolewa kwani lazima mfano majibu ya Demi na Evelyn Salt
Kama hamjapenda huu uzi au hamna cha kuchangia kaeni kimya ma siyo kumponda jamaa na uzi wake, mnaonesha kabisa mna hasira na majibu ya kijinga.
.......Mbona kifua kipo wazi unanitaka.?Hebu acheni watu waishi maisha yao.....kuolewa kuolewa, kuolewa kwenyewe nini sasa??? Kuosha vyombo, kupikia watu, kufua na kugombana na ndugu??? Hebu huko....😏😏
Kwahiyo hao wapiga vizinga ndo wenye thamani?Hao wanawake wasikate tamaa hatuoi mwili tunaoa personality na akili. Mke bora sio mdogo au binti , mke bora ni yuke anaempunguzia stress mumewe katika safari yake ya kupambana. Nilishawahi kuacha mwanamke kwa sababu hanywi pombe kabisa. Watanzania tusikariri maisha, cha kufanya ni mwanamke ajiongezee thamani. Mwanamke mwenye thamani hata miaka 50 hatofikisha bila kuolewa.
Unalo rohoni lime kukaa ni lizito sana na lina kupelekesha sana kwenye maisha. Anyway njoo kanisani utue huo mzigo maana hauwezi tua bila ya maombi.Usituchoshe weee, nenda kaolewe upate mafanikio.....
Anaekutaka nani ndugu!!.......Mbona kifua kipo wazi unanitaka.?
Kanisani ili mniombe maokoto 😹😹 nasali nyumbaniUnalo rohoni lime kukaa ni lizito sana na lina kupelekesha sana kwenye maisha. Anyway njoo kanisani utue huo mzigo maana hauwezi tua bila ya maombi.
Mrudie muumba wako, i have seen something inside you kina kusumbua sana kwenye ulimwengu wa Roho.Kanisani ili mniombe maokoto 😹😹 nasali nyumbani
kupiga vizinga sio sababu ya kutoolewa, ila mwanamke anatakiwa ajue mwanaume anayempenda hahitaji kuombwa hela atatoa yeye mwenyewe.Kwahiyo hao wapiga vizinga ndo wenye thamani?
Ulivyosema hebu huko nikakumbuka nyimbo ya mwana FA . Take easy cc sikuwa na maana mbayaAnaekutaka nani ndugu!!
Usiwaze....nothing is serious here!Ulivyosema hebu huko nikakumbuka nyimbo ya mwana FA . Take easy cc sikuwa na maana mbaya
Niombee baba mchungaji....au nije unishike kichwa untoe na mapepo?Mrudie muumba wako, i have seen something inside you kina kusumbua sana kwenye ulimwengu wa Roho.
Take it Serious to solve that issues.
Tuweke utani pembeni
But I am serious.!Usiwaze....nothing is serious here!
Niombee baba mchungaji....au nije unishike kichwa untoe na mapepo?