Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,736
Ndo nshakupata wewe hapo tuwekane sawa....Siyo mapepo tuu nenda kwa mwanasaikolojia akuweke akili sawa.
Ndo nshakupata wewe hapo tuwekane sawa....Siyo mapepo tuu nenda kwa mwanasaikolojia akuweke akili sawa.
PoleniSsi jambo baya ku feel machungu ya wenginw
Nani amekwambia tuna hasira? Sio hasira ni mshangaoMkuu hii thread yako tuu kuna majibu ya wanawake hapa naona tayari wako na hasira sana. Thread umetoa wewe ila wao ndiyo wana hasira ya kufa mtu, mara kuolewa kwani lazima mfano majibu ya Demi na Evelyn Salt
Kama hamjapenda huu uzi au hamna cha kuchangia kaeni kimya ma siyo kumponda jamaa na uzi wake, mnaonesha kabisa mna hasira na majibu ya kijinga.
Kweli ndoa ni baraka.Ndoa ni baraka nasema hivyo Mana unapata mtu wakati ni binti unamtafuta yupo bize na mambo yakidunia... Lkn mwisho wasiku akisha choka na kuzalishwa kashapata kitambi anataka aje atulie na ww,. Kwa kuwa anaona walio olewa mapema wametulia kwenye ndoa zao
Eti ndo baraka zenyewe🤣🤣🤣Hebu acheni watu waishi maisha yao.....kuolewa kuolewa, kuolewa kwenyewe nini sasa??? Kuosha vyombo, kupikia watu, kufua na kugombana na ndugu??? Hebu huko....😏😏
Mmekutana mnaofaana!Huyu anae Kesha kuomba kuolewa ni mumoja Kati yao
Sasa si wazichukue hizo baraka? Wenyewe hawataki kubarikiwa?🤣Eti ndo baraka zenyewe🤣🤣🤣
Unamaanisha waolewe wao?🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Sasa si wazichukue hizo baraka? Wenyewe hawataki kubarikiwa?🤣
Shida nyingine waowaji ndo hakunaUnajuwa sio kwamba tunawaandama Ila hii maada nimeleta ili kuwajenga wadada pale wanapo kwama warekebisehe, kumbuka JF ni kwa ajili ya jamii na wanadada ni wanajamii, tunatakiwa tudiskusi tatizo na kutowa ushauri
Waolewe tu make kuolewa ni baraka😹Unamaanisha waolewe wao?🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
NakaziaWaolewe tu make kuolewa ni baraka😹
Wadogo zangu kuna kigezo muhimu hapa kimewekwa siku hizi, mshindwe nyie tu tushone sare, tuwacheze...Hao wanawake wasikate tamaa hatuoi mwili tunaoa personality na akili. Mke bora sio mdogo au binti , mke bora ni yuke anaempunguzia stress mumewe katika safari yake ya kupambana. Nilishawahi kuacha mwanamke kwa sababu hanywi pombe kabisa. Watanzania tusikariri maisha, cha kufanya ni mwanamke ajiongezee thamani. Mwanamke mwenye thamani hata miaka 50 hatofikisha bila kuolewa.
Tusipowaandama wanapata strees pia kwanini hatuwafati
Nakutafuta wew dada.Mtihani Sana.