Wanawake wanafurahisha sana!

Wanawake wanafurahisha sana!

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,197
Reaction score
14,896
Kuna wanawake wanasema ooh "mimi siwezi kumfulia, kumpikia, kumfanyia usafi mwanaume kabla hajanioa"

Na hapo wanafanya tendo la ndoa bila kufunga ndoa!🤔

Vitu vingine vinachekesha🤣🤣
 
Wako sahihi!

We unadhani kati ya sikio na cotton bud, kipi kinafaidi?

Vyombo, nguo, hazina effect kwao! Usipokula, wanakuimba tu ngomani, mwanaume wa kino!
 
Kuna wanawake wanasema ooh "mimi siwezi kumfulia, kumpikia, kumfanyia usafi mwanaume kabla hajanioa"

Na hapo wanafanya tendo la ndoa bila kufunga ndoa![emoji848]

Vitu vingine vinachekesha[emoji1787][emoji1787]

Mbona hivo ni vitu tofauti mtoa mada, ni wapi walisema ukiwa unafanya tendo la ndoa kabla ya ndoa basi pia umfulie, umpikie & kumfanyia usafi.

Kila mtu ana haki ya kuchagua & kufanya kitu akitakacho ikiwa havunji sheria
 
Back
Top Bottom