Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Ndio maana linapokuja suala la kutimiza jukumu langu la kindoa huwa sina masikhara hata kidogo- ikiwezekana mishono yote ikae sawasawa.

Sasa unakuta mtu anapiga mtanange wa uhakika nje akija wa ndani analegea kisa anamheshimu mkewe noooooo
Ndio kuna siku unatakiwa upige shoo ya maana, sio eti una muheshimu, what is kumuheshimu, piga shoo ya maana, simamia vidole....
 
Hakuna la kukushauri hapo Mkuu,moja ya makosa ambayo hayasameheki ni kuchepuka! Mshauri tu ahamie moja kwa moja kwa huyo mchepuko wake!

Lakini pia pamoja na kwamba sina safari za nje kama wewe ila hapo kwenye " I has stayed " naona kuna tatizo mkuu!
 
Sio dongo Sakayo, ujue kuna kitu nimegundua unacho sema labda hujaamua kushare na wanajamii wenzio kwa namna moja ama nyingine
Ni kitu gani hicho Mbalizi!!
Huenda na mie sikijui
 
Ndio kuna siku unatakiwa upige shoo ya maana, sio eti una muheshimu, what is kumuheshimu, piga shoo ya maana, simamia vidole....
Yaani hizo yy mwenyewe alishazibatiza jina anaziita shoo za msimu, siku hiyo nikimweka kati hadi anatamani asusie mechi

Unakalia oooh kwa mke heshima - nyoooo, ngoja akakumbane na wa nje huko hawana huruma wanamfumua hadi atapike
 
Yaani hizo yy mwenyewe alishazibatiza jina anaziita shoo za msimu, siku hiyo nikimweka kati hadi anatamani asusie mechi

Unakalia oooh kwa mke heshima - nyoooo, ngoja akakumbane na wa nje huko hawana huruma wanamfumua hadi atapike
Yaap, hizo ndio zenyewe.
Wacha jamaa wajipigie maana amezembea...
 
Kwangu Mimi ili nisikutane na upuuzi ulio mkuta Mkuu, mwanamke had nimkubali bas ujue nimemchunguza na nimegundua ana hofu ya Mungu ya hali ya juu,

Ushauri wangu vijana ukimuona binti usimkurupukie tu ovyo baada tu ya kuvutiwa na muonekano wa nje, hofu ya Mungu pamoja na tabia njema ndiyo vitu vya msingi, ivyo vingine complications,
Stay blessed Boss
 
Nimejaribu kupitia comments za wachangiaji wengi wanashauri kuacha. Inawezekana wengi ni vijana kula kulala. Mimi niko tofauti kidogo. Ndoa si kitu rahisi kuvunja kama mnavyofikiria. Kumbuka watoto wenu. Watafute watu wazima kwanza.
 
Nimejaribu kupitia comments za wachangiaji wengi wanashauri kuacha. Inawezekana wengi ni vijana kula kulala. Mimi niko tofauti kidogo. Ndoa si kitu rahisi kuvunja kama mnavyofikiria. Kumbuka watoto wenu. Watafute watu wazima kwanza.
Point
 
Kumbe kuna wanaume wapole hivi, mimi wangu kosa dogo tu atanuna ata siku tatu, hapo usipombembeleza kesi inazidi, kosa dogo lakuzungumza atasema atatoa hata mke wapili sasa ingekuwa hivi nahisi ni sekunde tu angeshaacha
 
Ndio maana linapokuja suala la kutimiza jukumu langu la kindoa huwa sina masikhara hata kidogo- ikiwezekana mishono yote ikae sawasawa.

Sasa unakuta mtu anapiga mtanange wa uhakika nje akija wa ndani analegea kisa anamheshimu mkewe noooooo
Hawajui kuwa kumheshim mke ni pamoja na kumtia kisawasawa
 
Hawajui kuwa kumheshim mke ni pamoja na kumtia kisawasawa
Yaani kuna wanaume hata tukikaa kupiga mastori unakuta anasema (mimi kwa mke wangu nampiga miti ya kiaina tu kwasababu namheshimu) nabakia-ga nawashangaa sana.

Nyumbani ndio mahali sahihi pa kuatamia, kujali, kithamini, kuheshimu, na kila aina ya kupenda. Nampelekea likamba hadi anasema asante baabaaaangu weeee unajua kunikuna, unajua kunifikisha, unajua kunijali, unajua kunipenda.

Ni muhimu sana angalau kwa kila mwezi unampa mtanange wa zile shoo mwenyewe anaziita adimu walau mara tano au sita ukiachilia mbali zile za kawaida kawaida. Moja ya heshima kwa ndoa ni pamoja na kupigana miti ya haja hadi kila mmojawenu anamkubali mwenzie
 
Back
Top Bottom