Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Yaani kuna wanaume hata tukikaa kupiga mastori unakuta anasema (mimi kwa mke wangu nampiga miti ya kiaina tu kwasababu namheshimu) nabakia-ga nawashangaa sana.

Nyumbani ndio mahali sahihi pa kuatamia, kujali, kithamini, kuheshimu, na kila aina ya kupenda. Nampelekea likamba hadi anasema asante baabaaaangu weeee unajua kunikuna, unajua kunifikisha, unajua kunijali, unajua kunipenda.

Ni muhimu sana angalau kwa kila mwezi unampa mtanange wa zile shoo mwenyewe anaziita adimu walau mara tano au sita ukiachilia mbali zile za kawaida kawaida. Moja ya heshima kwa ndoa ni pamoja na kupigana miti ya haja hadi kila mmojawenu anamkubali mwenzie
Hahaha hawajui kama miongoni mwa vigezo tulivyofanya mtuoe ni huyo bed tennis
 
Nimejaribu kupitia comments za wachangiaji wengi wanashauri kuacha. Inawezekana wengi ni vijana kula kulala. Mimi niko tofauti kidogo. Ndoa si kitu rahisi kuvunja kama mnavyofikiria. Kumbuka watoto wenu. Watafute watu wazima kwanza.

Wanaume wapbavu kama wewe wamebaki wachache sana,

Kuna makosa ya kusameheana sio usaliti wa ngono
 
Mkuu kama una ushahidi mpige chini tu. Kuepuka kujinyonga au kupiga mpakaa kuua
Hiyo hali ndo ninaıexperience now but me nmekaa nae miaka tatu ... Hawa viumbe hawastahili hata chembe ya msamaha
 
Rekebisha kwanza hiyo english yako maana hakuna english ya "I HAS".
 
Mkuu muda mwingine kuachana inaepusha matukio wakubwa zaidi ambayo itapelekea hata hao watoto kuishi kwenye uzuni kuliko hata hao wazazi kutengana. Fikiria familia ambazo mke au mume wameamua kuuana na kuwaacha watoto yatima
Nimejaribu kupitia comments za wachangiaji wengi wanashauri kuacha. Inawezekana wengi ni vijana kula kulala. Mimi niko tofauti kidogo. Ndoa si kitu rahisi kuvunja kama mnavyofikiria. Kumbuka watoto wenu. Watafute watu wazima kwanza.
 
Mkuu muda mwingine kuachana inaepusha matukio wakubwa zaidi ambayo itapelekea hata hao watoto kuishi kwenye uzuni kuliko hata hao wazazi kutengana. Fikiria familia ambazo mke au mume wameamua kuuana na kuwaacha watoto yatima
Haaaah huko mkuu ni mbali zaidi! Mambo mengi kwenye ndoa yanazungumzika VUNJA UKIMYA ZUNGUMZA NA MWENZIO.
 
Mkuu kuna wanandoa ambao wamezungumza mpaka sasa wanaona hakuna jipya watakaloongea tena, hawa wamefikia hatua ya kuachana sasa ukiforce hapo muendelee basi mbele uko ni majanga
Haaaah huko mkuu ni mbali zaidi! Mambo mengi kwenye ndoa yanazungumzika VUNJA UKIMYA ZUNGUMZA NA MWENZIO.
 
Habari! I has stayed with my wife more than 10 year but now she changed a lot. Unajua nimekaa kajiuliza na kumchunguza nimegundua ana uhusiano na mwanaume mwingine. Hivyo amekuwa kiburi jeuri hana heshima. Kuna siku nilisafiri nje ya nchi for 2wks hizo wk nilijua yupo danger zone siku 7 ndani yake. Nakarudi nikamwambia tupime pregnancy amekataa maana anajua ujinga aliofanya hivyo alitaka kunibambikizia uzuri nilijua before. Je mwanamke kama huyo akiachwa atasema wanaume Wabaya? Tatizo la wanawake akipenda sehemu anajitoa mazima moyo wote! Hivyo nyumbani heshima inapotea, sisi wanaume hata kama tunachepuka nyumbani heshima kubwa. Leo mtu anapingwa chini maisha yasonge. Life's too short let us enjoy.


Kweli una moyo, yaani anachapwa na wanaume wengine wewe bado uko naye tu? Mpe dawa ya usingizi alale, kisha mtie ndani ya gunia kamtupe nyumbani kwa wazazi wake na umpige marufuku kuja kwako tena hata kama umezaa naye. Huyo si mke bali shetani.
 
Mkuu kuna wanandoa ambao wamezungumza mpaka sasa wanaona hakuna jipya watakaloongea tena, hawa wamefikia hatua ya kuachana sasa ukiforce hapo muendelee basi mbele uko ni majanga
Unaweza ukatumia njia inaitwa kurecharge,mnatengana kukaa mbali kila MTU kivyake mkijitafakari hata kwa mda mrefu then mnarudiana baada ya kupata chaji,usivunje ndoa ukiwa na hasira
 
Unavyochelewa anaenda kuchoropoa mkuu. Sikushauri kumuacha, lakini sikubaliani na usaliti wake kwako.

Men, never be weak before women. Usikaliwe.
 
Mimi ndugu Magoya2000, tusiwalaumu moja kwa moja hawa wake zetu, mara nyingi sisi waume zao tunajisahau sana pia...
Je wewe unapig game kama miaka 10 iliyopita?
Kwanini hufanyi utundu uliokuwa unamfanyia kipindi cha ujana wenu....?
Tujiulize kwa hili....
Hakuna mkamilifu hata mmoja. Pia tukisema hatuna dhambi tunajidang'anya na wala kweli haipo mioyoni mwetu. Je jiulize ww u mkamilifu? Hujawai kuzini nje ya ndoa! Tafakari!
 
Jamani mwanamke nae ni binadamu ana madhaifu yake .....unaposema akiolewa mission accomplished unakosea sanaa huyo dada sio Mungu mtu !!!!! Wazazi wetu wasingekua na vifua ndoa zao zisingedumu , ila angalia mpaka leo wapo pamoja sio kwamba hawakwazani ila kuna kurekebishana jamani ....... Mtu akigoma kubadirika ndo unaweza chukua maamuzi magumu na sio kosa tu unamuuacha !!
Kifua kuvumilia mambo ya kijinga!?..uumie na kujitafutia magonjwa ya moyo kisa nini!?
 
sasa ulimpima au alivogoma ndo basi? na maamuzi gani sasa umechukua? au ndio imeishia hivo umeuliza tu
 
Back
Top Bottom