Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Magoya2000

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
641
Reaction score
1,266
Habari! I has stayed with my wife more than 10 year but now she changed a lot. Unajua nimekaa kajiuliza na kumchunguza nimegundua ana uhusiano na mwanaume mwingine. Hivyo amekuwa kiburi jeuri hana heshima. Kuna siku nilisafiri nje ya nchi for 2wks hizo wk nilijua yupo danger zone siku 7 ndani yake. Nakarudi nikamwambia tupime pregnancy amekataa maana anajua ujinga aliofanya hivyo alitaka kunibambikizia uzuri nilijua before. Je mwanamke kama huyo akiachwa atasema wanaume Wabaya? Tatizo la wanawake akipenda sehemu anajitoa mazima moyo wote! Hivyo nyumbani heshima inapotea, sisi wanaume hata kama tunachepuka nyumbani heshima kubwa. Leo mtu anapingwa chini maisha yasonge. Life's too short let us enjoy.
 
Habari! I has stayed with my wife more than 10 year but now she changed a lot. Unajua nimekaa kajiuliza na kumchunguza nimegundua ana uhusiano na mwanaume mwingine. Hivyo amekuwa kiburi jeuri hana heshima. Kuna siku nilisafiri nje ya nchi for 2wks hizo wk nilijua yupo danger zone siku 7 ndani yake. Nakarudi nikamwambia tupime pregnancy amekataa maana anajua ujinga aliofanya hivyo alitaka kunibambikizia uzuri nilijua before. Je mwanamke kama huyo akiachwa atasema wanaume Wabaya? Tatizo la wanawake akipenda sehemu anajitoa mazima moyo wote! Hivyo nyumbani heshima inapotea, sisi wanaume hata kama tunachepuka nyumbani heshima kubwa. Leo mtu anapingwa chini maisha yasonge. Life's too short let us enjoy.
No mercy, No games , No lies. Inapokuja kufanya maamuzi magumu ndio hii.
Niwakumbushe dada zangu kuwa hakuna mwanaume zezeta hata siku moja. Hayupo na hatokuwepo.. unamuoma mwanaume ametulia, anahangaika ili uvae vizuri, akutunze atunze familia.. badala umlipe japo kwa.upendo .. unajisahau na kwenda kuchepuka.. msijisahau jmn.. msijisahau
 
Nashndwa kuelewa upo na depression au stress!!!
Fanya juu chin, kampimishe mimba akiwa anayo mfungashie vilago na makofi juu pumbavu zake
Kama atakua salama, mpende mke wako hakuna ndoa zsizo na changamoto, kuachwa kisa kagongwa nje utaacha wengi

Kama mwanaume mwenzako uo ndio ushaur wangu, kwan ww more than 10 years umegonga ngoma ngap nje?? Kuhusu tabia n jukum lako kumnyoosha kuna uzi "tuliowai kuwapiga wanawake makofi na yakasaidia" Fanya upitie comments utapata ktu
 
Ndugu yangu hawa watu ukiwa mtu wa huruma huruma utavuna mabua,ukijiridhisha kwanba ametibua usimpe hata muda wa kujitetea tupa kule ataenda kujuta akiwa kwao chumbani kwake kajifungia kwa sababu ukweli anaujua mwenyewe.
 
Kwangu Mimi ili nisikutane na yaliyo mkuta mkuu, mwanamke hadi nimkubali basi ujue nimemchunguza na nimegundua ana hofu ya Mungu ya hali ya juu,

Ushauri wangu vijana ukimuona binti usimkurupukie tu ovyo baada tu ya kuvutiwa na muonekano wa nje, hofu ya Mungu na tabia njema ndivyo vitu vya msingi, hivyo vingine complications,
 
Back
Top Bottom