Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

Hakuna mkamilifu hata mmoja. Pia tukisema hatuna dhambi tunajidang'anya na wala kweli haipo mioyoni mwetu. Je jiulize ww u mkamilifu? Hujawai kuzini nje ya ndoa! Tafakari!
mimi sio mkamilifu kabisa.....
 
Habari! I has stayed with my wife more than 10 year but now she changed a lot. Unajua nimekaa kajiuliza na kumchunguza nimegundua ana uhusiano na mwanaume mwingine. Hivyo amekuwa kiburi jeuri hana heshima. Kuna siku nilisafiri nje ya nchi for 2wks hizo wk nilijua yupo danger zone siku 7 ndani yake. Nakarudi nikamwambia tupime pregnancy amekataa maana anajua ujinga aliofanya hivyo alitaka kunibambikizia uzuri nilijua before. Je mwanamke kama huyo akiachwa atasema wanaume Wabaya? Tatizo la wanawake akipenda sehemu anajitoa mazima moyo wote! Hivyo nyumbani heshima inapotea, sisi wanaume hata kama tunachepuka nyumbani heshima kubwa. Leo mtu anapingwa chini maisha yasonge. Life's too short let us enjoy.

Jichunguze
 
Kuna mambo ambayo hayahitaji kushauriwa. Mkuu wewe una umejiridhisha mkeo anakusaliti na kiburi juu anakupa, what the *** are you waiting for? Wanawake wote hawa, wewe unakubali kuumizwa kichwa na boya mmoja mzinzi. Wachangiaji wengine wanadai eti umsamehe kwa ajili ya watoto. Nikuulize, je akikuletea magonjwa, nani atatunza watoto wako? Kwa uzoefu wangu, mwanamke msaliti huwa haachi, anatulia tu kwa muda akijipanga upya. Ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwanaume lazima uwe na misimamo. Ukitaka kuishi maisha ya kumpendeza mwanamke lazima ufeli vibaya sana. Hawa dada zetu tuwapende na kuwajali lakini shurti kuwaburuza.
 
Nashndwa kuelewa upo na depression au stress!!!
Fanya juu chin, kampimishe mimba akiwa anayo mfungashie vilago na makofi juu pumbavu zake
Kama atakua salama, mpende mke wako hakuna ndoa zsizo na changamoto, kuachwa kisa kagongwa nje utaacha wengi

Kama mwanaume mwenzako uo ndio ushaur wangu, kwan ww more than 10 years umegonga ngoma ngap nje?? Kuhusu tabia n jukum lako kumnyoosha kuna uzi "tuliowai kuwapiga wanawake makofi na yakasaidia" Fanya upitie comments utapata ktu
umeongea kiume.....sawa......hivi mkuu umeshawahi kuhisi mke/demu wako anakanyagwa nje?? fikiria ile taharuki ilivyoingia moyoni.....ikazunguka mishipa yoote ya damu....kuhisi tuu......je umedhibitisha kagongwa kweli.....na zimekatikia ndani??...anyway...coz ni ushauri umempa.....ila unatakiwa kuwa jasiri zaidi ya daudi aliyeuwa kamanda wake ili ampate mke wa kamanda...sbb alijua kamanda akijua na akiwa hai lazima ataasi........hofu kuu.....
 
Jamani mwanamke nae ni binadamu ana madhaifu yake .....unaposema akiolewa mission accomplished unakosea sanaa huyo dada sio Mungu mtu !!!!! Wazazi wetu wasingekua na vifua ndoa zao zisingedumu , ila angalia mpaka leo wapo pamoja sio kwamba hawakwazani ila kuna kurekebishana jamani ....... Mtu akigoma kubadirika ndo unaweza chukua maamuzi magumu na sio kosa tu unamuuacha !!
Mimi nikigundua mke amenisaliti, nitamshauri vizuri tu, kwamba, nimwache awe huru kabisa. Akiwa anahitaji kuonana na michepuko yake, atokee kwao. Ni rahisi hivyo.

Mtu unakuta tayari ana watoto, halafu hajali ikiwa atabainika na kuhatarisha ndoa kuvunjika. Hajali kabisa. Hamjali mume wala watoto. Kwa kuwa Mimi sina tabia za hivyo, siwezi kuivumilia tabia hiyo kwa mke wangu.

NB. Wewe mleta mada, kama nawe una tabia ya kuchepuka, tafadhali, kaeni mmalize hizi tofauti zenu. Wewe kama huwekezi vya kutosha kwa mke wako, wewe unamalizia nguvu zako kwenye michepuko, halafu unalalamika mke anachepuka. Jitathmini wewe kwanza, kama huwa huchepuki, toa talaka. Kama nawe unachepuka. Elezaneni, ambianeni, malizeni tofauti zenu na muanze maisha mapya ya ndoa na yenye maadili.

Pia, hujasema ikiwa mmefunga ndoa halali au mlichukuana tu.
 
Habari! I has stayed with my wife more than 10 year but now she changed a lot. Unajua nimekaa kajiuliza na kumchunguza nimegundua ana uhusiano na mwanaume mwingine. Hivyo amekuwa kiburi jeuri hana heshima. Kuna siku nilisafiri nje ya nchi for 2wks hizo wk nilijua yupo danger zone siku 7 ndani yake. Nakarudi nikamwambia tupime pregnancy amekataa maana anajua ujinga aliofanya hivyo alitaka kunibambikizia uzuri nilijua before. Je mwanamke kama huyo akiachwa atasema wanaume Wabaya? Tatizo la wanawake akipenda sehemu anajitoa mazima moyo wote! Hivyo nyumbani heshima inapotea, sisi wanaume hata kama tunachepuka nyumbani heshima kubwa. Leo mtu anapingwa chini maisha yasonge. Life's too short let us enjoy.

Pole sana. Ila kudhungu chako ni shiida, afadhali ungeandika kiswahili tu. Uzuri ni kwamba ulichoandika ni kweli haswaaaaa. Hawa viumbe ni wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom