mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 644
- 502
Ya nini kuchechemea wakati wakati unao uwezo wa kuutoa mwiba
Yaani wewe kama diamond unasuburi demu aachike ili ukamle... [emoji23] [emoji1]tayari mmeachana au bado
[emoji15] [emoji102]Sasa si uache oa mwingine
Ndio comment yenyewe hiiMim hapo sina comment muache tu
Amuache tu hapo maana kama ndo kweli ana mimba ya nje daahNdio comment yenyewe hii
Akazane kuikuzia tu maana hakuna namnaAmuache tu hapo maana kama ndo kweli ana mimba ya nje daah
DuuuuuhUnalalama wakati teni eazi ni nyingi mno na wewe ushazeeka kibofu chako kime-expire lazima akatunukie nje. [emoji23] [emoji1] safari tena mkuu.
Aongezee kucha na vinywele hahahaAkazane kuikuzia tu maana hakuna namna
Hahahaa
Eeeenh! na pua, midomo, mkuyenge na kadhalika hahahaaaaaAongezee kucha na vinywele hahaha
Usishangae bhana, sasa 10 years mke anaona dyudyu hilo hilo jeusi kidogo chepesi, wakati huku nje anaona muhogo mweupe mnene. [emoji87] [emoji377]Duuuuuh
Tatizo wajua sisi hatupigi tena kisela kama zamani kabla ya ndoa....Wewe bhana, huyo keshakutoa moyoni, wewe Demu analala na Mwanaume mwingine halafu bado unauliza ushauri? Hana emotional attachement na wewe bali yuko kwingine, achana naye kwani huwezi kumfanya akupende kama keshashiti hata ufanyeje!
HahahahaaaaUsishangae bhana, sasa 10 years mke anaona dyudyu hilo hilo jeusi kidogo chepesi, wakati huku nje anaona muhogo mweupe mnene. [emoji87] [emoji377]
We nakuaminia, mtumishi wa bwana teeeenah!Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba kwa mikono yake!
Nimesema mpumbavu nikiwa na maana
Duniani kuna vituko[emoji23] [emoji23]Usishangae bhana, sasa 10 years mke anaona dyudyu hilo hilo jeusi kidogo chepesi, wakati huku nje anaona muhogo mweupe mnene. [emoji87] [emoji377]
HahahaWe nakuaminia, mtumishi wa bwana teeeenah!
Ndio maana linapokuja suala la kutimiza jukumu langu la kindoa huwa sina masikhara hata kidogo- ikiwezekana mishono yote ikae sawasawa.Tatizo wajua sisi hatupigi tena kisela kama zamani kabla ya ndoa....
Yaonyesha hapo povu lilikuwa juu ya mchepuko....Juzi juzi ulimsifia leo unamkandi! Wewe unafurahisha genge tu
Kumuomba Mwanaume fedha baada ya Sex ni tabia ya 'Kimalaya'