Wanawake wana roho mbaya sana

Wanawake wana roho mbaya sana

Kuna concept ya Kijerumani inasema kwamba ''Ukimuwekea mwanamke kisu kikali na kisu butu halafu ukamuuliza ni kipi angetumia kumchoma mtu anayemchukia atachagua butu ili amtese,wakati mwanaume angechagua kikali ili amalize hasira haraka''.
Nimeipenda iyo ila hawa watu ni noma coz mimi nililelewa na mama wa kambo aisee nilikua napata mkong'oto kila siku tena sotimes bila kosa mauulum.
 
Si wakina mama wote, wapo wengine poa ila wengi wao ni noma bwana,Yani uwa sipendi kukumbuka ya nyuma awa watu acha tu nisiseme mana....
 
Kila jinsia itavuta upande wake..
Judge yourself kwanza ndo ujudge wengine,jiulize umeumiza wangapi,umeua wangapi kiroho,wanawake wangapi umewatukana na kudharau etc
Kila mtu ana mapito yake,usigeneralize..kuna wanawake watakuja hapa na story za wanaume walivyo na roho za kikatili pia
 
Gross oversimplifications are becoming the norm rather than the exception here.
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

Unawakusanya wa nini nyumbani kwako? Kila mtu akikaa kwake heshima inajengeka, eti?
 
Kazi kweli kweli! Unamaanisha nini hapa mkuu Kiranga?

Kila kitu kinakuwa generalized mpaka inakuwa ni kama kawaida tu. Not even a hint of qualification. Hakuna hata mtu anayeona generalization hii kama tatizo.

Wanawake wana roho mbaya, Mama Theresa alikuwa mwanamke, naye alikuwa na roho mbaya?

Halafu mtu akisema "Waafrika wananuka" tutashangaa na kukasirika?

Wanawake wana roho mbaya sana kwa sababu roho mbaya inatokana na estrogen au vipi?
 
Ukimzaa mwanao ndo umchukie na kumfanyizia mtoto wa kambo?
Usitake kuleta hapa guilty concious eti mama alikuzaa.
Ukweli bado unabaki.
Roho mmmbayyyyya!

yaani hii generalization ya wanawake wote huwa mnanisisimua kwakwel nikipewa nichague kisu ntachagua butu kwa wanaume wote wenye tabia ya kugeneralize,ebu semeni baadhi yetu nin lakin kutufananisha wote?
 
Tena kama nyie mlioenda enda shule ndo mna roho mbaya sana. Mnajifanya hamu entertain mambo ya extended family. Hivi unafikiri ulivyonikuta mimi nina kagari na kaofisi unadhani nilidondoka toka mbinguni? leo hutaki kaka zangu wala nani

yan ulete ndugu zako kwan mi sina ndugu wa kuwaleta?,akuna extended family over!kwanin kujitutumua kubeba mzigo ambao kipato hakitoshi,wew kama wasomi wana roho mbaya nenda kwa hao wasiosoma ukaone shughuli yake,mentality kama iz ndo zinaleta umaskin tu,kama ni kusaidia ndugu wasaidiwe wakiwa uko uko nin kubanana apo mwishoe tumtafute mchawi nani.........tena wanaume kama nyie mnaojifanya mnaupendo na ndugu zenu mnakua na roho mbaya sana aswa kama ndugu wa mke nao wakiitaji msaada
 
Kila kitu kinakuwa generalized mpaka inakuwa ni kama kawaida tu. Not even a hint of qualification. Hakuna hata mtu anayeona generalization hii kama tatizo.

Wanawake wana roho mbaya, Mama Theresa alikuwa mwanamke, naye alikuwa na roho mbaya?

Halafu mtu akisema "Waafrika wananuka" tutashangaa na kukasirika?

Wanawake wana roho mbaya sana kwa sababu roho mbaya inatokana na estrogen au vipi?

Nimekupata kwa mbali kidogo!
 
Nimeipenda iyo ila hawa watu ni noma coz mimi nililelewa na mama wa kambo aisee nilikua napata mkong'oto kila siku tena sotimes bila kosa mauulum.
wa aina hiyo wapo ila na wema pia wapo. Mie nilikuwa sijui kama kuna watoto pale kwetu nime-share nao baba, kaka zangu wawili. Nimekuja kujua nikiwa mkubwa nimeshaanza na shule. Mama hakufanya tujione tofauti. Pia mie nimekuwa na mdogo wake, alikuwa anatufanyia kila kitu sawa hadi nguo tulikuwa tunavaa sare, hadi watu wengine walijua mie na mamangu mdogo huyo kuwa ni mapacha. Wabaya wapo na wema wapo. Luv u my mom, na mungu akupe maisha marefu.
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

4. Iwe hivi, wanavyoishi na ndugu upande wa mume.
 
Back
Top Bottom