Wanawake wana lawama za ajabu sana

Wanawake wana lawama za ajabu sana

Gari zako, pesa umpe wewe, out umpeleke ww kwa gharama zako, alaf leo umechelewa ana kununia? Man yaan unamdekeza mno, sasa kama hivyo amenuna , jarib kumuuliza tatizo ni lipi, kama hatoonyesha ushirikiano kula bunda endelea na mambo yako kama vile umuoni.
Atajishtukia mwenyewe.
Ukiwadekeza sana huwa wanakera mno, wanaanza kukutesa kijinga.
 
Kwa hiyo kosa lake ni kusema nyumbani ana gari mbili???Mbona mnawivu wa kijinga hivyo badilikeni acheni upumbavu kama mmeshindwa kumshauri mkae kimya
Huu ni ukweli watanzania wengi wana roho ya umaskini. Na roho ya umaskin husababisha mtu kuwa na roho mbaya. Hataki kusikia mtu anacho
 
AFFECTION bro, huna kitu kina itwa AFFECTION, aiseee wanawake huo ndio ugonjwa wao.... Na sio kila mwanaume ana uwezo wa affection...... Aiseee utachapiwa huyo in a serious note! Ngoja akutane na mwenye hii affection utaona changes.
What's Affection Mkuu ??[emoji65]
 
Nyumbani kuna gari mbili hataki kuendesha, asubuhi anataka nimpeleke ofisini jioni nimpitie, mimi natoka saa tisa na nusu yeye anatoka saa moja usiku.

Nakaa nje wee kama mlinzi akitoka tunaondoka kufika home ni saa tatu saa nne. Weekend pia anataka nimpeleke mimi weekend siendi kazini, mpaka kumchukua weekend anataka nikamchukue.

Leo nimechelewa kidogo kumchukua hata kunisalimia hajanisalimia amerudi amevuta mdomo anachat mpaka muda huu tu sebuleni. Hivi hapo kosa likowapi? Kama sio habari za kipuuzi kabisa sema nimenyamaza tu.
APA naona tatz ni kuwa na magar na hasa ilo lako kwan ndo analipends San

Uza ayo magari na ucnununue tens gari mkuu
 
Pole mkuu naona amekufanya uber .....Hahahahaha
 
Mkuu hongera sanaaa,mie mumewangu humletei upuuzi huo,atakupeleka akijisikia au kama anataka atumie gari yangu la sivyo anaigia kwenye gari yake safari au kama naumwa au tue tunaenda sehemu na anatumia gari yangu ndio ataendesha anaogopa nisije kumuua mana anasem kuendesha sijui zaidi ya hapo sahau...
 
Kama yeye ndo kayanunua utaendelea kuwa dereva tuu mkuu adi utakapo nunua lako
 
Nyumbani kuna gari mbili hataki kuendesha, asubuhi anataka nimpeleke ofisini jioni nimpitie, mimi natoka saa tisa na nusu yeye anatoka saa moja usiku.

Nakaa nje wee kama mlinzi akitoka tunaondoka kufika home ni saa tatu saa nne. Weekend pia anataka nimpeleke mimi weekend siendi kazini, mpaka kumchukua weekend anataka nikamchukue.

Leo nimechelewa kidogo kumchukua hata kunisalimia hajanisalimia amerudi amevuta mdomo anachat mpaka muda huu tu sebuleni. Hivi hapo kosa likowapi? Kama sio habari za kipuuzi kabisa sema nimenyamaza tu.
Usiwe unamsubiri kwani kazini hakuna watu wa kumrudisha hadi kila siku uwe wewe!
 
Wanawake wanataka ulinzi kutoka kwa mwanamume, kama huna issue nyingine nadhani sio mbaya wewe endelea kumfuata tu kazini na foleni za mjini unampa kampani na yeye anajiona anapendwa. Huyo mbona mzuri sana maana kuna wengine humu humu wanakwepwa na wenza wao, kila mwanaume akitaka kumpitia anatunga la kutunga lakini wewe mwanamke anakuambia umpeleke na kumfuata (kwanza ume-save mafuta na gharama zingine lakini pia umedumisha upendo kwa kujali hisia zake)

Kikubwa ni wewe kuji-adjust ratiba zako na zake mwisho wa siku mwende sawa na itafika sehemu pindi mtakapokuwa na shughuli zingine za kimaendeleo kama familia ataacha tu maana mtajikuta wewe unatakiwa ufuatilie kitu flani na yeye kitu flani (Ila kama ukitoka hakuna project yoyote ya kufanya wewe mfuate tu mkuu akikua ataacha maana hapo hata ukirudi tena nyumbani lazima atataka umsubiri mle wote msosi)
 
Una gari mbili, na zote unatumia kusaka vibinti.
Ameamua kukunyoosha, na sitoshangaa kusikia anahudumiwa na wengine
 
Hongera sana kwa kua na mwanamke muaminifu...

Anataka umpeleke kazini na kumfuata mpaka siku za weekend... Hongera sana...

Kuna wanawake ambao hawataki kabisa kuongozana na wanaume zoa... kwa sababu wana mambo yao ya pembeni...


Cc: mahondaw
 
Nyumbani kuna gari mbili hataki kuendesha, asubuhi anataka nimpeleke ofisini jioni nimpitie, mimi natoka saa tisa na nusu yeye anatoka saa moja usiku.

Nakaa nje wee kama mlinzi akitoka tunaondoka kufika home ni saa tatu saa nne. Weekend pia anataka nimpeleke mimi weekend siendi kazini, mpaka kumchukua weekend anataka nikamchukue.

Leo nimechelewa kidogo kumchukua hata kunisalimia hajanisalimia amerudi amevuta mdomo anachat mpaka muda huu tu sebuleni. Hivi hapo kosa likowapi? Kama sio habari za kipuuzi kabisa sema nimenyamaza tu.
Tatizo lako ni kutomaliza hamu za mkeo kimwili fanya mazoezi hasa kukimbia na kutuka ruka papoja na kuchuchumaa mshughulikie vilivyo kwa wiki mara tatu utaona mabadiliko
 
Dawa ni kumwacha apande daladala,hataki mwache anune
 
Hongera sana kwa kua na mwanamke muaminifu...

Anataka umpeleke kazini na kumfuata mpaka siku za weekend... Hongera sana...

Kuna wanawake ambao hawataki kabisa kuongozana na wanaume zoa... kwa sababu wana mambo yao ya pembeni...


Cc: mahondaw

Venye I feel proud kuongozana / kutembea na mume weeeeh... afu muwe na katoto/ watoto wenu mmewapigishaa pamba hatariiiiiii.... I like it
 
Nyumbani kuna gari mbili hataki kuendesha, asubuhi anataka nimpeleke ofisini jioni nimpitie, mimi natoka saa tisa na nusu yeye anatoka saa moja usiku.

Nakaa nje wee kama mlinzi akitoka tunaondoka kufika home ni saa tatu saa nne. Weekend pia anataka nimpeleke mimi weekend siendi kazini, mpaka kumchukua weekend anataka nikamchukue.

Leo nimechelewa kidogo kumchukua hata kunisalimia hajanisalimia amerudi amevuta mdomo anachat mpaka muda huu tu sebuleni. Hivi hapo kosa likowapi? Kama sio habari za kipuuzi kabisa sema nimenyamaza tu.
Pole sana kwa kupata mke mpuuzi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom