Wanawake wana lawama za ajabu sana

Wanawake wana lawama za ajabu sana

Nyumbani kuna gari mbili hataki kuendesha, asubuh anataka nimpeleke ofisini jioni nimpitie, mimi natoka saa tisa na nusu yeye anatoka saa moja usiku.

Nakaa nje wee kama mlinzi akitoka tunaondoka kufika home ni saa tatu saa nne.

Weekend pia anataka nimpeleke mimi weekend siendi kazini,mpaka kumchukua weekend anataka nikamchukue.

Leo nimechelewa kidogo kumchukua hata kunisalimia hajanisalimia amerud amevuta mdomo anachat mpk muda huu tu sebuleni.

Hivi hapo kosa likowap?? kama sio habari za kipuuzi kabisa sema nimenyamaza tu.
Wazowee tu mkuu,ndio maana wanaitwa wanawake hivyo ndivyo walivyo...
 
Ifike mahali tuache kuchukulia kuwa ni big deal mtu anaposema ana miliki gari ama nyumba.

So what if they really own it?

Let as look at the point they are trying to put forward, offer advice or walk away if you can't.

Tusishambulie wenzetu over what they have. Let's take it as a challenge itupe moyo na sisi tutafute vya kwetu.

Pia ifike mahali tukubali kwamba binaadamu hatufanani just like the fingers on our hands. Si tabia si uwezo.

Mfano, naweza kuwa sina hata baskeli... lakini nilikimbilia kujenga. Naweza kuwa sina gari baskeli wala kibanda but faraja yangu ipo katika familia yangu. Watoto wangu wanakula wakitakacho na wanalala pazuri...

Zote hizi ni baraka na ni aina tofauti za furaha kwa mmiliki. Tusiwe na chuki kwa wenzetu ambao tunahisi wametuzidi kitu in one way or the other.

Lets be kind to each other, Positive vibes whenever we can.
Word up..
 
Ifike mahali tuache kuchukulia kuwa ni big deal mtu anaposema ana miliki gari ama nyumba.

So what if they really own it?

Let as look at the point they are trying to put forward, offer advice or walk away if we can't.

Tusiwashambulie wenzetu over what they have. Let's take it as a challenge itupe moyo na sisi tutafute vya kwetu.

Pia ifike mahali tukubali kwamba binaadamu hatufanani just like the fingers on our hands. Sio ki tabia si uwezo.

Mfano, naweza kuwa sina hata baskeli... lakini nilikimbilia kujenga. Naweza kuwa sina gari baskeli wala kibanda but faraja yangu ipo katika familia yangu. Watoto wangu wanakula wakitakacho na wanalala pazuri...

Zote hizi ni baraka na ni aina tofauti za furaha kwa wamiliki. Tusiwe na chuki kwa wenzetu ambao tunahisi wametuzidi kitu in one way or the other.

Lets be kind to each other, Positive vibes whenever we can.
+1...
Yaan nimeshindwa hata kuelewa watu walivombeza kwa kusema tu anamiliki gari mbili,
Mtu anaeza akasema anamiliki shamba la nanasi msata na akawa on safe side, lkn sema unamiliki boda boda, ...madongo!! utaonekana unatamba . moja ya watakaokubeza atakuwa huyo huyo aliyekuja na stori za kumiliki shamba .
 
Mkuu umesema nyumbani una gari mbili na hataki kuendesha,

swali ni je anajua kuendesha?
 
Ifike mahali tuache kuchukulia kuwa ni big deal mtu anaposema ana miliki gari ama nyumba.

So what if they really own it?

Let as look at the point they are trying to put forward, offer advice or walk away if we can't.

Tusiwashambulie wenzetu over what they have. Let's take it as a challenge itupe moyo na sisi tutafute vya kwetu.

Pia ifike mahali tukubali kwamba binaadamu hatufanani just like the fingers on our hands. Sio ki tabia si uwezo.

Mfano, naweza kuwa sina hata baskeli... lakini nilikimbilia kujenga. Naweza kuwa sina gari baskeli wala kibanda but faraja yangu ipo katika familia yangu. Watoto wangu wanakula wakitakacho na wanalala pazuri...

Zote hizi ni baraka na ni aina tofauti za furaha kwa wamiliki. Tusiwe na chuki kwa wenzetu ambao tunahisi wametuzidi kitu in one way or the other.

Lets be kind to each other, Positive vibes whenever we can.
Ubarikiwe mkuu
 
Mkuu hawa watu waliotoka ubavuni sio rahisi kuwaelewa yaan akili zao wanazijua wenyewe hivyo inabidi twende nao tu hvohvo mdogo mdogo
 
Aiseeee....
Mdomo wangu umebaki wazi kabisaaaaa....
 
Huyu ndo mwanamke maana ana wivu na ndo kinachomsumbua ukijua kucheza na wivu huo safi sana

Ni mwanamke poa sana

Ukimchoka mkuu nipe Mimi ila mwambie namiliki punda na mkokoteni

Teh
 
Ifike mahali tuache kuchukulia kuwa ni big deal mtu anaposema ana miliki gari ama nyumba.

So what if they really own it?

Let as look at the point they are trying to put forward, offer advice or walk away if we can't.

Tusiwashambulie wenzetu over what they have. Let's take it as a challenge itupe moyo na sisi tutafute vya kwetu.

Pia ifike mahali tukubali kwamba binaadamu hatufanani just like the fingers on our hands. Sio ki tabia si uwezo.

Mfano, naweza kuwa sina hata baskeli... lakini nilikimbilia kujenga. Naweza kuwa sina gari baskeli wala kibanda but faraja yangu ipo katika familia yangu. Watoto wangu wanakula wakitakacho na wanalala pazuri...

Zote hizi ni baraka na ni aina tofauti za furaha kwa wamiliki. Tusiwe na chuki kwa wenzetu ambao tunahisi wametuzidi kitu in one way or the other.

Lets be kind to each other, Positive vibes whenever we can.
Nakuzimia vibaya vibaya , una akili nyingi sana
 
Ulimuonesha udhaifu wako mapema sasa anatumia matunda ya udhaifu wako wacha afaidi udhaifu wako
 
Mpige picha mke wako tumuone alafu tukupe ushauri mzuri
 
AJIRI DEREVA HANDSOME BOY, AFANYE HYO KAZ. ILA LAWAMA HATUTAKI.

PHANTUMU MWANAUME WA DAR.. UNAPELEKESHWA NA MKEO KAMA BWEGENAZI
 
Watu Bhana Mna Wivu Mwenzenu Kasema Ana Gari Mbili Imekuwa Nongwa Mbona Bakhresa Ana Magari Nchi Nzima Hamshangai Ila Gari Mbili Imekuwa Nongwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom