Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaha brod darlin Eli79 aibu nimeona mimi hakyanani. Hufai kwa kutoweza wala kwa kurumangia. SidanganyikiHuyo ni boooonge la liability, reject arijinali.
Last edited by a moderator:
Hahaha brod darlin Eli79 aibu nimeona mimi hakyanani. Hufai kwa kutoweza wala kwa kurumangia. SidanganyikiHuyo ni boooonge la liability, reject arijinali.
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuuJitumbukize mikosi ikuandame, utaanza kula mihogo soon! Huoni everlenk kiranga chote kimemuisha, sahivi hata mb 8 tu za kuingia huku hana.
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuu
Aimeeen, na usiingie chaka milele.
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuu
Yani umeukosa mazimaaa, na ni bora hata usiuwazie kabisa teh. Nimeshamwambia Mungu kuwa "liabilities" shall never be my portionDuh, sisy darling kweli leo umeamka na mimi. Nikidhani tutampiku mnyaki mwenzako kumbe atoto amekuchukua kiasi hicho...huo utamu ndo nimeukosa asee!!
Hahahahaaaa...kwa hiyo wewe uliingia chaka??
Yes i am
Nakubaliana kabisa na mtoa mada, tatizo la hao wanaume wanao kuwa na mahusiano na wadada wa 30+ wengi.wao kujali zero kabisa,yaani huwa wanaona ndo wamefika, wanaboa sana. Walishazoe kusumbuliwa sumbuliwa na hao 20-30.
Badilikeni, mkishikwa shikamaneni.
Mimi Mwenyewe Huwa Nawapenda Sana Ile Mmekubaliana Mkutane Sehem Anavulia Kyupi Nyumbani Kwao, Sio Hawa Dogodogo Anakuja Amevaa Vyup Viwili, Tait, Mbili Suluali Kakaza Na Mkanda, Kaazima Na Katoto Ka Jirani Ndio Anakuja Et Unasemaje?
Teh kwa kosa gani tena jamani?atoto na Heaven Sent nikiwakamata
atoto na Heaven Sent nikiwakamata
Hapa imebidi nicheke tu atoto.unaandika lakini?