Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Jitumbukize mikosi ikuandame, utaanza kula mihogo soon! Huoni everlenk kiranga chote kimemuisha, sahivi hata mb 8 tu za kuingia huku hana.
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuu
 
Last edited by a moderator:
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuu

Aimeeen, na usiingie chaka milele.
 
Last edited by a moderator:
Ooh Lord maskini dada angu. Kumbe ndo maana simuoni khaa. Nahisi alichanganyikiwa na usmart wa brod. Chezea kijana wa kisabato full kuchomekea, kiatu kinang'aa as if anaenda kujitambulisha kwa wakwe.. akajua kaopoa kumbe kaopolewa. Mie nimetoka chepo hivi kumkemea huyo Eli79 asinifuatilie milele. Mihogo nimeichoka tangu utotoni jamani akhuuuu

Duh, sisy darling kweli leo umeamka na mimi. Nikidhani tutampiku mnyaki mwenzako kumbe atoto amekuchukua kiasi hicho...huo utamu ndo nimeukosa asee!!
 
Last edited by a moderator:
Duh, sisy darling kweli leo umeamka na mimi. Nikidhani tutampiku mnyaki mwenzako kumbe atoto amekuchukua kiasi hicho...huo utamu ndo nimeukosa asee!!
Yani umeukosa mazimaaa, na ni bora hata usiuwazie kabisa teh. Nimeshamwambia Mungu kuwa "liabilities" shall never be my portion
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana kabisa na mtoa mada, tatizo la hao wanaume wanao kuwa na mahusiano na wadada wa 30+ wengi.wao kujali zero kabisa,yaani huwa wanaona ndo wamefika, wanaboa sana. Walishazoe kusumbuliwa sumbuliwa na hao 20-30.

Badilikeni, mkishikwa shikamaneni.
 
Nakubaliana kabisa na mtoa mada, tatizo la hao wanaume wanao kuwa na mahusiano na wadada wa 30+ wengi.wao kujali zero kabisa,yaani huwa wanaona ndo wamefika, wanaboa sana. Walishazoe kusumbuliwa sumbuliwa na hao 20-30.

Badilikeni, mkishikwa shikamaneni.

Aimen nadhani wamekusoma apa vizuri
 
Mimi Mwenyewe Huwa Nawapenda Sana Ile Mmekubaliana Mkutane Sehem Anavulia Kyupi Nyumbani Kwao, Sio Hawa Dogodogo Anakuja Amevaa Vyup Viwili, Tait, Mbili Suluali Kakaza Na Mkanda, Kaazima Na Katoto Ka Jirani Ndio Anakuja Et Unasemaje?

Hapa imebidi nicheke tu atoto.unaandika lakini?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Kabisa mkuu nakubaliana na wewe Kundi hili la wanawake kwenye sex in superb na wana enjoy sana. Mimi sitaki kabisa below 30.
 
Back
Top Bottom