Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Tena unaona mtu anaongea kwa mihemkooo, unajua tu huyu kapigwa kibuti either na 30's au single mom, nachekaga.
Yani wana hasira haooo. Na ukitaka kuwaudhi wewe usinune, cheka tu. Manake ukinuna roho zao zinapata amani
 
Yani wana hasira haooo. Na ukitaka kuwaudhi wewe usinune, cheka tu. Manake ukinuna roho zao zinapata amani

Kaka yako katika bwana yuko wapi? Namdai alafu ananipiga tu chenga za mwili
 
Hahahhahaa unless you are also 30+.....

Yes i am.
t7eq7n.jpg

Hop in.
 

Aa Mateso Kama Haya Mie Sitaki Mtu Kuvuana Nguo Jasho Linatoka Balaa Umemamaliza Kumvua Anabana Miguu Mechi Nyingine Kuja Kukuachia Hoi Bin Taabani Na Ukisema Avue Mwenyewe Hiyo Papuchi Utasubili Sana Aa Mimi Nataka Hayahaya Mazoefu Shida Yote Ya Nini
 
Aa Mateso Kama Haya Mie Sitaki Mtu Kuvuana Nguo Jasho Linatoka Balaa Umemamaliza Kumvua Anabana Miguu Mechi Nyingine Kuja Kukuachia Hoi Bin Taabani Na Ukisema Avue Mwenyewe Hiyo Papuchi Utasubili Sana Aa Mimi Nataka Hayahaya Mazoefu Shida Yote Ya Nini

duuuh!! Hapo kwenye "haya haya mazoefu" ulikuwa ukimaanisha watu au maembe?
 
Kaka yako katika bwana yuko wapi? Namdai alafu ananipiga tu chenga za mwili

Hahahahahah andika tu maumivu. Kaka angu mpare hanaga utani na pesa.

Bahati nzuri simdai pesa, yule najua nikimkopesha pesa ni nimetoa msaada kamwe siwezi mkopesha pesa.

Nyie watoto mmeanza kumteta mtu hapa...! Lakini mjuwe nawapenda wote tena sana, ingewezekana kujigawa ningejigawa nipate vyote...!!
 
Nyie watoto mmeanza kumteta mtu hapa...! Lakini mjuwe nawapenda wote tena sana, ingewezekana kujigawa ningejigawa nipate vyote...!!

Nimekumissimo ex darling, acha uvivu bwana jigawe tu, everlenk yuko wapi? Nimemmisoooo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom