Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahahahaha sizitaki mbichi hizi jamani. Heshima kwa mkeo imeanza baada ya mimi kukupa cha mbavu?Nilisema nina mpango na wewe, lakini namuheshimu dada yako sana...
Hahahahaha sizitaki mbichi hizi jamani. Heshima kwa mkeo imeanza baada ya mimi kukupa cha mbavu?Nilisema nina mpango na wewe, lakini namuheshimu dada yako sana...
atoto na Heaven Sent naona leo mmeamua. Lakini najua haya ni mahaba tu..msiwe na wivu kwa everlenk wangu!!!
Kweli na wewe umeamua kunikaanga? Seriously?? Lakini bado nakupenda tu...
atoto na Heaven Sent naona leo mmeamua. Lakini najua haya ni mahaba tu..msiwe na wivu kwa everlenk wangu!!!
Hahhahaa hapana chezea liability ya kipare
Hahahahaha sizitaki mbichi hizi jamani. Heshima kwa mkeo imeanza baada ya mimi kukupa cha mbavu?
Hahahhaah akikuungia bundle la mwezi, atafunga kula mwezi mzima ili acompensate hela ya bundle. Labda kama kabadili kabila. ... huyo alohonga jero akiwa first year lakini Kila akilala anaiota! Yani huyu kwa ubahili wake atakuwa tu wako milele, atachepukaje huku ana mkono wa birika pyeeeMume wangu Eli79 ananiwekea bundle la mwezi tena la bila kikomo natumia mpaka basi, mume wangu habishani. Asante mdogo wangu nilikumiss mimi pia...
Ndoa yetu ni ya mkataba kuna mambo ya muungano na kuna mambo ambayo si ya muungano,kama hili la kusali si la muungano.......lol
Mume wangu Eli79 ananiwekea bundle la mwezi tena la bila kikomo natumia mpaka basi, mume wangu habishani. Asante mdogo wangu nilikumiss mimi pia...
Ndoa yetu ni ya mkataba kuna mambo ya muungano na kuna mambo ambayo si ya muungano,kama hili la kusali si la muungano.......lol
Hahhahaha ulipotezea wapi, au niweke message zako hapa, afu ukinidiss tu tena naweka na voice notes nilizokurecord mkeo akusikie tehCha mbavu huwezi kunipa. Niliamua kupotezea kwa heshima yangu na dada yako...
Achana nao hao wataishia Kula kwa macho, watanawa lakini Kula kwa macho.....
Teh katuletea chakula lakini tumekimwaga. Yani hatutaki hata atusogeleeAchana nao hao wataishia Kula kwa macho, watanawa lakini Kula kwa macho.....
Cha mbavu huwezi kunipa. Niliamua kupotezea kwa heshima yangu na dada yako...
Hahahhaah akikuungia bundle la mwezi, atafunga kula mwezi mzima ili acompensate hela ya bundle. Labda kama kabadili kabila. ... huyo alohonga jero akiwa first year lakini Kila akilala anaiota! Yani huyu kwa ubahili wake atakuwa tu wako milele, atachepukaje huku ana mkono wa birika pyeee
I love you baby girl...dini sio ishu, ili mradi sambusa yangu unanipa tu..
Teh kwani hujui ana daftari lake la mahesabu la Kila siku. Yani humo Kila kitunguu na nyanya ilonunuliwa vimeandikwa.Hahahaaaaa!!! Safari ya matumaini inaendelea.
Mwezi hautoshi naona mwaka mzima, na ataiandika katika diary kabisa.
Hahhahaha ulipotezea wapi, au niweke message zako hapa, afu ukinidiss tu tena naweka na voice notes nilizokurecord mkeo akusikie teh
Hahahaaaaa!!! Safari ya matumaini inaendelea.
Mwezi hautoshi naona mwaka mzima, na ataiandika katika diary kabisa.
Aaah siweki leo, usije ukajinyonga bure kwa aibu. Nimetunza kwa ajili ya matumizi ya baadaye.Weka tuone nani alikataa kuingia kwenye mahusiano na mwenzake...
Aaah siweki leo, usije ukajinyonga bure kwa aibu. Nimetunza kwa ajili ya matumizi ya baadaye.
Yani wewe unavyonizimia hata nikikuita sasa hivi uje kwa kichura chura utaruka tu. Sema ndo una nyota ya mihogo tehHili ni jibu tosha kuwa nani kamzimikia mwenzake
Hahahhaah akikuungia bundle la mwezi, atafunga kula mwezi mzima ili acompensate hela ya bundle. Labda kama kabadili kabila. ... huyo alohonga jero akiwa first year lakini Kila akilala anaiota! Yani huyu kwa ubahili wake atakuwa tu wako milele, atachepukaje huku ana mkono wa birika pyeee
Hahahahaaaaa! Eti unawekewa bundle la muda gani?? Nimeanguka nikizinduka takujibu.
Kweli hapana chezea safari ya matumaini, mnaanza kupunguza kimoja kimoja mwisho wa siku hakuna muungano kabisa, yangu majicho.