Chamachama
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 200
- 129
mm ni mjamzito ghafla simpend mume wangu yaana ananipa hasira kila wakati afu tenda la ndoa sitaki hata kidogo ,natamani nisafiri niende mbali sana kusikojulikana
Loh yaan huko kukosa usingizi naona hadi nilikuwa mlinzi wa hiyari, mimba ikiamua kukutesa ni shida sana... Mmmh upumzike kwa amani mwanangu!
Hivi ni wanawake wote mimba huwa inawazingua,hata Wazungu wana hizi kashkash?
Basi upande wa pili mumeo atakuwa anasikia kichefuchefu na hasiraMi yangu imekuja vizuri lol
Basi upande wa pili mumeo atakuwa anasikia kichefuchefu na hasira
wewe muangalie tu tumbo lake linavyomuuma kila mara
uwe unaenda naye Klinik mara kwa mara ndio utaepika michafuko hiyo
Hongera
ukiona Mume wako anashikwa uchungu ujue ni mapenzi yako na mtoto mtarajiwa na wala sio LIMBWATAHivi hiyo hua inasababishwa na nini? Kwamba mwenzangu anisaidie hicho kichefucgefu na hasira!
Pole sana mpendwa! Unapita shida nyingiii mwisho wa siku unabaki mikono mitupu! Naelewa maumivu yako yalishanikuta pia!Loh yaan huko kukosa usingizi naona hadi nilikuwa mlinzi wa hiyari, mimba ikiamua kukutesa ni shida sana... Mmmh upumzike kwa amani mwanangu!
mara nyingi ni mabadiliko ya mwili! Na mama anateseka kweli!haaa mimba ikiwa ndogo! Wengine ikifika miezi minne na kuendelea anaweza kuvumilia ila wengine hawawezi!Sijui wanawake wote wakibeba mimba wanakuwa hivi au ni huyu wa kwangu tangia abebe mimba ndani hakukaliki mara nina hamu na kitu fulani ukileta hali, amehama chumbani eti kinatoa halafu mbaya analala kwa housegirl.
Nimejitahidi kufanya usafi lakini wapi hataki hata kuingia humo nimebaki nalala mwenyewe kwa kweli kuna maudhi mengi mpaka nachoka hivi ni kweli hizo mimba zinawafanya hivyo.
Nimejaribu kuongea na marafiki ambao wenzi wao walibeba mimba walichonieleza anayoyafanya huyu wangu ni cha mtoto hivi kweli kwamba mimba huwafanya hivyo au mnatufanyia makusudi.
Huwa wanakua na hizo hali za kutaka au kukataa kitu flani, ila hawana jinsi ya kuelezea! Waliowapa ujauzito wamepepea! Asumbue matron au mwajiri wake hajipendi?Mabeki tatu na wanafunzi wakibeba mimba wanakomaa nayo kimya kimya bila kusumbua mtu, hawa walio kwenye ndoa ndio wana hizo sera za mimba kutaka mafenesi saa nane usiku!
Pole sana mpendwaNi hali ya kawaida,mi kipindi changu sikutaka kuongea na mwenzangu hd najifungua. Yaan nilikuwa nahisi km donge fulan limenikaba rohon hivyo nafuu yangu ilikuwa ni kutomsemesha. Alikuwa anataman sn kuongea na mm ila ndio hivyo na ht nilipokuwa namjibu basi badae ntahangaika sn kwa kutapika.
Thanks God now mtoto wetu ana mwaka na miezi 6 ila baba ndo hayupo tena......dah kwakweli Mungu ana makusudi yake,hamu yote ya mtoto aliyokuwa imepotea km ndoto. Apumzike kwa amani!
Nashukuru sana wachangiaji nimegundua kitu kutoka kwa hawa watu,
kwa maana nipo katika kipindi kigumu kweli,
ila baada ya huu mwezi kuisha nitaitwa baba.
Loh yaan huko kukosa usingizi naona hadi nilikuwa mlinzi wa hiyari, mimba ikiamua kukutesa ni shida sana... Mmmh upumzike kwa amani mwanangu!