Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

Subiri tu aje akwambie gas imeisha ukanunue then achukue tena... kwani huyo dada yako?
 
kama hataki kukusemesha mwache hivyo hivyo, jifanye kama hujaona any changes kwake, msalimie endelea na shughuli zako, hafai hata kwa bure huyo
 
wanawake sazingine wana vitabia flan amazing kama vitoto vile wewe muangalie wife hapo home na hawa ma-ofisini yaani anaweza kukujengea mazingira flan ambayo atakupeleka nayo sasa ukishamstukia wewe nenda nae vile atakavyo ilimradi haikukost
Lakini kaninunia mkuu, pesa achukue asitake kulipa, halafu anahitaji zingine kumwambia sina imekuwa kosa, kaamua kunichunia
 
kama hataki kukusemesha mwache hivyo hivyo, jifanye kama hujaona any changes kwake, msalimie endelea na shughuli zako, hafai hata kwa bure huyo
Nashukuru mkuu kwa wazo lako, nitalifanyia kazi
 
Itabidi ukae kimya kidogo kama njia ya kumuonyesha kuwa hukupendezwa na hyo tabia yake,na epuka majibizano ili asije ku take advantage ukawa wewe ndio umekosea,
Nakushukuru mkuu kwa ushauri wako, nitaufanyia kazi
 
Mkuu pole sana na inasikitisha sana, pesa ni tamu sana na pia ni mbaya sana na haina rafiki, mpenzi, ndugu, humantarian, hekima, busara nk... Pesa inatoa watu roho sembuse kununa, ingawa pia mwanamke ana jinamizi lake hapo..
 
Bora wewe mimi wangu nikimtumia pesa chini ya laki kama nilivyomzeashaga enzi za kikwete hata Asante sipewi na simu sipigiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…