Wanawake wahenga wanajua sana mapenzi

Wanawake wahenga wanajua sana mapenzi

Rejea umri huo.ni kuanzia 1978 kurudi mpaka 1968.
 
Wahenga wanajua kwel mapenzi na wengi wao wako open sana Lakin tatzo lao kubwa ni military Yao kiukwel haiko attractive sana kwa maana ngozi zao nyingi sio Sawa na agemate wetu

2logM@km
 
Round nane au tisa umesikia hiyo ni boxing ya kina Tyson na Mayweather!?? Hapo bao nzitonzito zinatoka kweli au ni upepo tuu!??
Muongo mkubwa huyo,anakoleza mambo hadi anaharibu maana ya uzi
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Katika pita pita yangu ya hapa na pale katika ulimwengu wa mahaba nimegundua wanawake wahenga ambao wamezaliwa miaka kuanzia ya 1970-1989 ni hatari muwapo katika sita kwa sita yaan siyo magogo kama hawa mademu wa kidigitali.

Kwa wale ambao washawahi kukutana na wanawake wahenga wataelewa namanisha nini.

Yaan utalambwa kila sehemu hata kama ukiwa mchovu unaishiaga round tano kama mimi siku hiyo utafika hata round nane au tisa.

Sijutii kuwafamu wanawake wahenga mbalikiwe sana popote pale mlipo mjue mimi nawapenda sana jamani.

CC MBITIYAZA


LONDON BABY
Jiandae kusubiri matokeo ya STD 7!vip umeshafanya mitihani mingine kujiunga na shule binafsi?kama bado mwambie mama yako akusaidie!
 
Round sita, ipo siku utakuja kugundua kuwa kumbe ile ni muscle tu na kamwe huwezi kushindana nayo.. Jiulize kwa ni kuna madada poa na wale ili mradi pesa tu wanaweza kulala hata na wanaume 20 kwa siku tena size kuanzia ndogo, fupi, nene, size ya kati hadi mitarimbo na hawatingishiki kila siku wapo kazini? wanawake wana nguvu za ajabu si kama sisi wanaume.. usijichoshe ndugu yangu utajikomoa mwenyewe.. unalala hoi kisa round sita, ukiamka unakuta keshakuandalia kila kitu kuanzia chai, maji ya kuoga, keshafanya usafi hadi kufua..utashindana na hawa viumbe?
 
Bao nane! HAIWEZEKANI labda enzi za Adam na Hawa...kama kuna muhenga m/mke yupo humu alete ushuhuda kwenye hili
Kwanzaa ni mwanamke gani atakubali huo ujinga Kwan umesikia mpnz ni vita...
 
Kwanzaa ni mwanamke gani atakubali huo ujinga Kwan umesikia mpnz ni vita...
Sio wanawake wote ni wachovu kama wewe wengine ni ngangari sana tatizo wewe umeharibiwa na ped za utoton
 
Back
Top Bottom