S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,563 50,407 Nov 28, 2021 #1 Kuzaa kwa operesheni kuna sababu nyingi. Lkn nimeambiwa sababu kubwa ni ufupi wa mama mjamzito. Kuna ukweli gani ktk hili? My take; suala hili likithibitishwa kitaalamu basi wadada wafupi mwafwa!
Kuzaa kwa operesheni kuna sababu nyingi. Lkn nimeambiwa sababu kubwa ni ufupi wa mama mjamzito. Kuna ukweli gani ktk hili? My take; suala hili likithibitishwa kitaalamu basi wadada wafupi mwafwa!
Eng. Zezudu JF-Expert Member Aug 23, 2012 7,813 10,827 Nov 28, 2021 #2 Science ipi hio, mbona wanawake wengi wafupi wamezaa kawaida na warefu wamekatwa
S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,563 50,407 Nov 28, 2021 Thread starter #4 King Kong III said: Si kweli Mkuu. Click to expand... Afadhali
S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,563 50,407 Nov 29, 2021 Thread starter #6 Principle girl said: Walokwambia wamekudanganya. Click to expand... Sawa mkuu