floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 858
Nina mpenzi wangu huwa anajifanya ana ana akili sana, yeye anafahamu kushona nguo, hivi juzi ameomba nimnunilie cherehani ya kushonea pia nimpatie pesa kwa ajili ya kufungua ofisi yake, hayo yote nimeahidi kumfanyia mwisho wa mwezi huu.
Kinacho nishangaza juzi nilipokutana nae, akaomba tupige picha za pamoja kupitia simu yangu kisha nimtumie (yeye simu yake haina camera nzuri) kweli tulipiga picha na nikamtumia.
Cha ajabu ninachokiona zile picha anapost mtandaoni ila amekata vipande ambavyo mimi nipo. Pia kaviweka ukungu vipande ambavyo mimi nimetokea sana ili tuu nisionekane.
Jamani hapo mnamtafsiri vipi huyu mwanamke mimi nimeshaanza kumuona mchawi tuu.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kinacho nishangaza juzi nilipokutana nae, akaomba tupige picha za pamoja kupitia simu yangu kisha nimtumie (yeye simu yake haina camera nzuri) kweli tulipiga picha na nikamtumia.
Cha ajabu ninachokiona zile picha anapost mtandaoni ila amekata vipande ambavyo mimi nipo. Pia kaviweka ukungu vipande ambavyo mimi nimetokea sana ili tuu nisionekane.
Jamani hapo mnamtafsiri vipi huyu mwanamke mimi nimeshaanza kumuona mchawi tuu.
Post sent using JamiiForums mobile app