SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
Wanawake wa sasa hivi tofauti na zamani kabisaaa ladies of nowdays they don't cry after breakup, they behave like cashier in the bank "next person please🚶🙆♂️"
mmhHujui sahivi wameshapata gundi za kuyaunga hata yakivunjika..😅
😅😅😅Walie wanapungukiwa nini wakati kuna foleni ya watia nia wanasubiri ridhaa ya kuchukua jimbo.
Tuendelee kutafuta pesa tu.
Let's meet at the top, Cheers 🥂
Mpenzi waguna Nini..?
👏👏Mambo ya kuumizana yalikua yakitoto sana, yani mwanamke akulilie wakati wanaume wapo wengi wanaojua kujali, ukikitupa mwenzako anakisubiri kiwe pendending
Nakazia 📌📌Tuna mambo mengi sana ya msingi ya kutuliza
Imagine;
Manchester inilize
Nikichana mkeka nilie
Barcelona inilize
Bado matatizo ya kifamilia yanilize
Hadi mwanaume akiniacha nae nilie?hell no aseee!!siku hizi tunalizwa na mambo ya msingi tu
Et nilie Mimi uyoo 😅😅 nefaa🙅🙅Mpenzi waguna Nini..?
Ha ha! Kuna sehemu.. he he! Wacha niishie hapo..Et nilie Mimi uyoo 😅😅 nefaa🙅🙅