Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,586
- 4,274
Mimi sijatembea nchi nyingi ila nilikopita, sijaona wasichana makini kama wa hapa TZ. Ukweli wadada wa nyumbani (bongo) na wapa Big up...wapo juu sana. Tabia mbaya ni ya mtu binafsi.
Hata kama unafanya reseach- sampling umekutana na wasichana watatu hiyo ni kama 0.0001% ya dada zetu hivyo huwezi kutoa majumuisho yoyote. Pole!!!
Mimi mdada wa nje (awe mweusi au Mweupe/Mzungu) hata wa kuombewa simtaki...nchi jirani hapa wadada wapo rude utafikiri wanajeshi...dada zetu wapo bomba sana; Ukitaka aliyepiga book, wazuri wa kila aina...kazi kupata unaye endana naye..ila ukibahatika yuo will enjoy!
Hao uliokutana nao wapo nje ya nchi kutafuta maisha hivyo..income ni kigezo muhimu sana kwao...
Hata kama unafanya reseach- sampling umekutana na wasichana watatu hiyo ni kama 0.0001% ya dada zetu hivyo huwezi kutoa majumuisho yoyote. Pole!!!
Mimi mdada wa nje (awe mweusi au Mweupe/Mzungu) hata wa kuombewa simtaki...nchi jirani hapa wadada wapo rude utafikiri wanajeshi...dada zetu wapo bomba sana; Ukitaka aliyepiga book, wazuri wa kila aina...kazi kupata unaye endana naye..ila ukibahatika yuo will enjoy!
Hao uliokutana nao wapo nje ya nchi kutafuta maisha hivyo..income ni kigezo muhimu sana kwao...