Wanawake wa sasa hawajui umuhimu wa mume

Cjaolewa ila nimeoa.khs kuacha au kuachika utasubiri Sana mkuu.zamani ndio wanaume walikuwa jeuri na c sasa.jeuri ya mwanamme kuzalisha tu ila khs kutafuta cku hz mbona tuko sawa.ukitaka mke wa kujua umuhimu wa mume kwa dunia ya sasa labda umzae mwenyewe au ungeoa enzi zile za mababu.
kwa tabia na michango yako hapa harti uoe kuolewa na jeuri iyo ni hatari ila wewe kuoa mwanaume ina madhara sana coz yeye hakupendi ila vijisenti vyako ndo vizuri kwakwe. tahadhari kwakwo ataikusanya iyo pesa yako kidogo2 then atatafuta mwanamkeanayempeddd wakati huo ndo utajuta kuoa au utaoa tena?
 
Hii mada ni nzuri jamani haswa kwa sisi wanawake. Kwa upande wangu tusianze kumtupia vijembe mleta mada tunachotakiwa tujiangalie tunakosea wapi na . Ila mtoa mada wewe unatoa ushauri gani?. Maana ni kweli ndoa zimekosa maadili haswa kwa WANAUME kutokujua wajibu wao kama VICHWA vya FAMILIA sasa wanataka kua MIKIA ya familia, lazima WAPIGWE TU.

watu kama nyie ni muhmu sana NGUSEKELA wewe ni wife matirial tena kubwa umekubali kuna sehemu tunakosea wanaume na wanawake no maana kuna nanii nyingine nimeandika inasema WANAUME TUNA SHIDA GANI. w wanaume wamekuwa kero hawajali watoto hawajali mke wao wanajali marafiki na watu wa vijiweni au kwenye kahawa.NGUSEKEKA THANK U
 
Mlitegemea nini kuwapeleka shule? distortion imeanzia kwa waliosoma ndo wamewaspoil jamii nzima na kwasababu wanaume mmeonesha udhaifu wa kula kwa jasho badala yake mkataka wanawake eti nao wakasome waje kuwasaidia wajibu wenu hapo ndo mmechemka,si kila mtu Biblia ilimpa majukumu yake sasa iweje mmfanye vs na mtarajie matokea yaleyale? think deep,think twice ..niko free sana kimawazo mpaka shetani ananipinga!
 
Back
Top Bottom