Jamani! tumechoka wanawake wanawake, mkilala mkiamka wanawake!. Ukiona kero imezidi kwa mwanamke ili asikutie dhambi ya kumsema KATAFUTE MWANAUME MWENZIOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO. tena umtwishe mimba, si hutaki kelele!
wANAWAKE WANASAHAU KITU MOJA KUWA SISI si Kwamba TUNALALAMIKA NA SI KWAMBA HATUNA MAKOSA NO ILA SISI NDO TUNAOA NA SISI TUNAKWENDAGA KUWATAMBULISHA NA SISI NDO TUNASELECT HIVYO MWANAUME AKIKUTA ALICHAGUA WRONG ANAJUTA NA KULALAMIKA COZ ALIKUWA NA NAFASI YA KUCHAGUA TOFAUTI NA NYIE UTAKUTA UNA MIAKA 35 OR ABOVE KUOLEWA NI ISSUE AKIJA YOYOTE UNAKUBALI ILI KUKWEPA AIBU KAMA UNAVYOJUA TENA MWANAUME ASIPOOA INAONEKANA KAWAIDA ILA KWA UPANDE MWINGINE NI DIFFER
Haaaahaaaaaaa..kwahiyo Ina mana mwanaume kisa unavihela vyako ndo unataka usujudiwe?km ww unaona anakudharau c uende huko unapohisi utaheshimika kwa mchepuko.
Cjaolewa ila nimeoa.khs kuacha au kuachika utasubiri Sana mkuu.zamani ndio wanaume walikuwa jeuri na c sasa.jeuri ya mwanamme kuzalisha tu ila khs kutafuta cku hz mbona tuko sawa.ukitaka mke wa kujua umuhimu wa mume kwa dunia ya sasa labda umzae mwenyewe au ungeoa enzi zile za mababu.umeolewa kweli wewe kwa majibu haya huwezi olew na hata ukiolewa ndoa itakuwa na migogoro sana na mwisho utaachika
Usipomuheshimu mwanamke wako,ukampa mahaba mpaka akaona dunia yake yote,USITEGEMEE ATAKUHESHIMU hata kama unamiliki fedha yote ya ESCROW!
:Kwakweli ni shiiiidah wanawake wa leo hawajui umuhimu wa mume tatizo nini yaani kujali, kupenda, uaminifu unakuwa ziro hivi sababu za msingi ni zipi? Unakuta mwanamke hana kazi kwa maana ni mama wa nyumbani but mume ana kazi nzuri na pesa na ana uwezo wa kung'oa demu yeyote wakati wowote, lakini ukimwona huyo mkewe alivyo na dharau utadhani anamiliki mlima Kilimanjaro kule kwa MISS CHAGA. Nini kinawafanya wanawake wa leo kuwa hivyo? Ila sweet na Salome hawahusiki. NJOONI TUAMBIANE
Sijaona umuhimu wa mwanaume zaidi ya kunidunga mimba ya stress kila siku.