Toeni vibanzi vyenu kwanza kila kukicha wanawake heeee jamani hatuna mazuri kila siku mnalalamika. itakuwa na wewe una matatizo.
wanawake wanawake hivi nin juu ya nini jamani ??
Mmezidi
Usipomuheshimu mwanamke wako,ukampa mahaba mpaka akaona dunia yake yote,USITEGEMEE ATAKUHESHIMU hata kama unamiliki fedha yote ya ESCROW!
Lol naitwa siti juma ndo jina langu halisi
Ok, sasa kwann usijiite mamaasitijuma, au unapenda sn facbook?
Hilo jina lina historia ndefu sana
Ningependa kuijua tafdhali.
Hilo jina lina historia ndefu sana
sikupatii picha
Lol hupitwi
mmmh mimi tena... naona unaniuzia tu mke wangu kule!!!