Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
itabidi jumapili akaniombee,niopoe huumu huumu..Yupo mkuu tena anaombea
Bei zake zikoje mkuu?
itabidi jumapili akaniombee,niopoe huumu huumu..Yupo mkuu tena anaombea
Hahaha.Haka ka mbinu kako nimekapenda kameenda school na kamegraduate kabisa tena hakana sup
itabidi jumapili akaniombee,niopoe huumu huumu..
Bei zake zikoje mkuu?
mazoea huZaa tabia!!!! mwishoe mtafanyana bure.Mbona mguno mkuu!
itabidi jumapili akaniombee,niopoe huumu huumu..
Bei zake zikoje mkuu?
mazoea huZaa tabia!!!! mwishoe mtafanyana bure.
Aah! Limdomo lako likubwa kama la kulambia mwakomi sijaoa muwe mnanijibu
humu kweli hawezi kukosa huyoGwajima member mzuri wa MMU.
Aah! Limdomo lako likubwa kama la kulambia mwako
Zile condition zako ataziweza?mmmm!!!!!
Na wanawake walioolewa nao wanakumbia au huwataki?
Nilimiss sana mambo yetu yale..
biblia inasema usiikaribie zinaa. shukuru mungu hawajipu PM, pengine ukizoeana nao unaweza kutumbukia dhambiniElungata upo? Mimi nimeoa, wewe si huwa unajifanya bachelor!
mume wa mtu jipu