love you
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 727
- 725
hahahaaa! Usisahau kalamu na daftari maana utakua darasaniMimi hapa nimekuja. Au tukutane PaleMtini?
I swear sitauliza cheti cha ndoa
hahahaaa! Usisahau kalamu na daftari maana utakua darasaniMimi hapa nimekuja. Au tukutane PaleMtini?
I swear sitauliza cheti cha ndoa
hahahaaa! Usisahau kalamu na daftari maana utakua darasani
Haka ka mbinu kako nimekapenda kameenda school na kamegraduate kabisa tena hakana sup
Hahahaha uoga wako tu kijana siku hizi wenye wake ndo wanapendwa maana wanajua kuhudumia
Haha a ha ahaha pole sana nenda Gwajima akuombeeMkuu mimi yamenitokea, kuna massive unanswered pms kwenye outbox yangu, tena zinaonekana hazijafunguliwa kabisa.
Hapo kwenye bold umentukana au?Wewe, mbinu gani? The message should be understood as is without any alteration, I mean WYSIWYG.
hahahaaa! Usisahau kalamu na daftari maana utakua darasani
hey,..Hey, love you!
kweli ndo starehe iliyobaki ya kuondoa stress,ngoja na mie nijifikirie fikirie kama vipi nioe tu,yaani zito kuniwahi imeniuma sana,nikizubaa mpaka mnyika nae ataniwahi aseeMwaka huu hadi mijitu sugu inaoa, kama akina Zitto, mwaka huu una stress balaa, watu wameamua kujirusha na ngono halali. Magufuli amebana maisha magumu, siasa zinazuiliwa, utafanyeje sasa!
Hilo ni kweli mkuuHahahaha uoga wako tu kijana siku hizi wenye wake ndo wanapendwa maana wanajua kuhudumia
sipafahamuNina vitu vingi sana utaenjoy kunifundisha. PaleMtini si unapafahamu lakini?
Hapo kwenye bold umentukana au?
hahaaha gwajima bado yupoHaha a ha ahaha pole sana nenda Gwajima akuombee
kweli ndo starehe iliyobaki ya kuondoa stress,ngoja na mie nijifikirie fikirie kama vipi nioe tu,yaani zito kuniwahi imeniuma sana,nikizubaa mpaka mnyika nae ataniwahi asee
Yupo mkuu tena anaombeahahaaha gwajima bado yupo
sipafahamu