Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,569
Reaction score
2,584
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio. Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu. Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini. Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Bro wee wala usijali tumia hela kuwala hawa kenge. Usilete mapenzi wee focus yako iwe ngono tuu uta waenjoy sana hawa kengez.
 
🙂🙂, acha tu mkuu,
FB_IMG_17410097827507472.jpg
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Umejaribu kuongea nae? Mwambie unacho penda halaf angalia reaction yake
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Gusa achia, hit & run..acha ufala.
 
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.

Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga anakupiga vya kutosha tu.

Sasa najiuliza ni biashara tunafanya au ndo wanawake wa mjini.

Natamani kumwacha ila ni mrembo sana ila ndo hivyo
Una options 2:
1.mwambie ukweli juu ya jambo hilo
2.Asipobadilika muache kwa amani
 
Back
Top Bottom