rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,274
- 24,129
Umeshaangalia takwimu za ukimwi ukajua huo mkoa unashika no ngapi
Bado tunarudi pale pale hatuna free will kama ameshajua kuwa ningekuja kufanya hayo alikuwa na sababu gani ya kuniumba?Kila jambo lina sababu zake...
Pengine ungepewa utajiri ungeangamiza wenzako kwa kukosa maarifa...
Cc: mahondaw
na mwambie Liverpool_Jr aachane na mitungo, kuchangia na huyo mume wa mtu mwenye watoto wakati yeye hajaoa atajakutana na GONOcocous litakalomtesa mpaka hiyo miti aliyopanda itakauka bora Corona
Mm siwezi changia na hivi vitoto vinavyokupa eti leo zamu yako nimekuhurumia tena bila condo



halafu cha kushangaza anamuonea huruma mume atakaekuja kumuoa bidada kwa madai ya kuwa atakuwa anashare na mume wa mtu. Yeye hapo anafanya the same thing. Ningemuona wa maana Kama angemtema chiniAmenOa Bikra utakuja kunishukuru.
Mwanamke asiye na bikra kumuoa ni kutaka kuitukana ndoa kwa upuuzi wako
INVESTING is better than BUSINESS..!!Mi naona unge base kwenye story ya jinsi ya upandaji wa miti mengine waachie kina zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanye vile atakavyo..na mwambie Liverpool_Jr aachane na mitungo, kuchangia na huyo mume wa mtu mwenye watoto wakati yeye hajaoa atajakutana na GONOcocous litakalomtesa mpaka hiyo miti aliyopanda itakauka bora Corona
Mm siwezi changia na hivi vitoto vinavyokupa eti leo zamu yako nimekuhurumia tena bila condo
Achana nae ni MPUUZI FULANI hivi...Mkuu Liverpool_Jr kuna jamaa anaitwa watford unamjua?
Bodaboda anakuleteaUna namba yake mkuu name nile fadhila zake?
Ukimwi upo kila SEHEMU.Umeshaangalia takwimu za ukimwi ukajua huo mkoa unashika no ngapi
Niligundua ukaribu na mume wa mtu baada ya kuua nae.halafu cha kushangaza anamuonea huruma mume atakaekuja kumuoa bidada kwa madai ya kuwa atakuwa anashare na mume wa mtu. Yeye hapo anafanya the same thing. Ningemuona wa maana Kama angemtema chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen kop.Listen Bro, Always be very selfish with your time and resources especially when women are involved. The only person who has your back is you, so never hesitate to walk away from a situation where you're being exploited and aren't getting value, whether it be a job, business, relationship or marriage.
She's even disrespecting you according to what you wrote here,
Jana kanitumia SMS ""Kesho nakuja kulala kwako nimekumiss""
Kashasahau siku kadhaa zilizopita aliniambia ""Siwezi kuachana nae (mume wa mtu) bora tuachane na wewe Mr. Liverpool, Mimi na wewe hatuendani wewe una wivu sanaa""
The game is cold and only cold-hearted guys win. Learn to be cold like women, women are the coldest creatures on God's green earth. Be colder than women, na mtaacha kuteta haya manyanga ya ajabu kuhusu wanawake hapa JamiiForums.
Inaonyesha kuwa yeye hana tatizo na umalaya wake bali wewe ndo unaumiaNiligundua ukaribu na mume wa mtu baada ya kuua nae.
Niliamua kumshauri sanaa aachane nae ila kagoma.
Sasa ameamua kuwa Malay* ngoja na Mimi nimfanye tu hivyohivyo Malay*...
Kagoma kujielewa.
Nikichoka kuchakata PAPUCHI nitakaa pembeni...
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Respect to you brother, you are always spot on when it comes to female nature.Listen Bro, Always be very selfish with your time and resources especially when women are involved. The only person who has your back is you, so never hesitate to walk away from a situation where you're being exploited and aren't getting value, whether it be a job, business, relationship or marriage.
She's even disrespecting you according to what you wrote here,
Jana kanitumia SMS ""Kesho nakuja kulala kwako nimekumiss""
Kashasahau siku kadhaa zilizopita aliniambia ""Siwezi kuachana nae (mume wa mtu) bora tuachane na wewe Mr. Liverpool, Mimi na wewe hatuendani wewe una wivu sanaa""
The game is cold and only cold-hearted guys win. Learn to be cold like women, women are the coldest creatures on God's green earth. Be colder than women, na mtaacha kuteta haya manyanga ya ajabu kuhusu wanawake hapa JamiiForums.
Si tunashauri tu mzee...maana naona unagonga kavu kabisaa...wakati wakhunyumba watu wahuruma na hi baridi ukute wanapiga wengi....utarudi robo kilo