Teh teh!

Anakula ujana kwanza ila na wewe una moyo sana siwezi kushare demu na mwanaume mwenzangu abadan
Sio lazima ajute. Ukute ameona jamaa sio husband material

. Kazi yake kujimwambafai tu mara anapanda miti sijui anawapa ofa ya bia baba na ndugu zake.Sio lazima ajute. Ukute ameona jamaa sio husband material. Kazi yake kujimwambafai tu mara anapanda miti sijui anawapa ofa ya bia baba na ndugu zake.
Bora abakie na mume wa mtu anae muweka mjini
Sent using Jamii Forums mobile app

nalo neno.INVESTING is BETTER than BUSINESS..!!Uwekezaji wako ni mzuri sana
Umetisha KOPUshauri mwingine utakaokusaidia kumung'oa na kuwa wako peke yako ni kumuambukiza Corona, mme wa mtu atamkimbia afu utabaki nae wew mwenyew! Maana si mtatengwa wawili tu kwenye karantini la Muloganzila!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ni Mali.Demu wangu Daily huwa namhusia kuwa wanaume wa cku hizi wanaoa akili na sio fuvu zuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeagizwa tuishi nao KWA AKILI.hata hivyo una roho. kwangu mimi nikijua huyu mwanamke anato-mbwa na mtu flani, hata mb oo haisimami
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeambiwa tuishi nao kwa akili.Anakula ujana kwanza ila na wewe una moyo sana siwezi kushare demu na mwanaume mwenzangu abadan
Pengine hata huu ni msala upitao tuIla mlengwa wa mleta mada anakosea...anaacha mbachao kwa msala upitao..shauri yake
Sent using Jamii Forums mobile app