Wanawake wa kitanzania, mnawafahamu wa Nigeria au mnawasikia tu?

Ni kweli kabisa mkuu nililala wa kutembelea nchi moja ya ulaya unapozungumuzia mambo ya biashara kwanza unaulizwa we ni mnajeria ukimwambia hafanyi tena biashara na wewe.

Anaweza akakusafirisha katika inchi ya mbali na kukulazimisha ubebe mzigo wa madawa sivyo unauwawa.
Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni.

swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??.

Binafsi nimekuwa na experience ya kuwa na urafiki na hawa watu kipind nilipokuwa nchi mmoja kusini mwaAfrika,Kwa experience yangu ndogo ni watu wenye juhud katika utafutaji lakini mbali na hivyo ni watu wenye kando kando nyingi kuliko watu wa nchi nyingine yoyote barani Afrika.

Ni vyema ukatambua jambo unalojiingiza. Binafsi nimeshaona watu wenye asili ya huko wakiBadili wanawake karibu kila siku atakayokuwa mzima afya, Mtu akimuuza mke/girlfriend wake kwa vikundi vya kihuni ili apate hela, Mwanamke kupelekwa katika madanguro na bwana ake mwenyewe.

Mwanaume kumuuzia msala girlfriend wake na kupata kifungo cha muda mrefu, Watu kuwafanyia some embarrassing sexual activities aibu hata kuvitaja hadharani (wanawake wao)wakiwa katika vikundi na mengine mengi anayefahamu anaweza kuongezea .

N.B.
Andiko hili halina lengo kuchafua watu wenye asili ya taifa Fulani bali lina elezea uzoefu binafsi juu ya watu wenye asili ya huko.
 
Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni.

swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??.

Binafsi nimekuwa na experience ya kuwa na urafiki na hawa watu kipind nilipokuwa nchi mmoja kusini mwaAfrika,Kwa experience yangu ndogo ni watu wenye juhud katika utafutaji lakini mbali na hivyo ni watu wenye kando kando nyingi kuliko watu wa nchi nyingine yoyote barani Afrika.

Ni vyema ukatambua jambo unalojiingiza. Binafsi nimeshaona watu wenye asili ya huko wakiBadili wanawake karibu kila siku atakayokuwa mzima afya, Mtu akimuuza mke/girlfriend wake kwa vikundi vya kihuni ili apate hela, Mwanamke kupelekwa katika madanguro na bwana ake mwenyewe.

Mwanaume kumuuzia msala girlfriend wake na kupata kifungo cha muda mrefu, Watu kuwafanyia some embarrassing sexual activities aibu hata kuvitaja hadharani (wanawake wao)wakiwa katika vikundi na mengine mengi anayefahamu anaweza kuongezea .

N.B.
Andiko hili halina lengo kuchafua watu wenye asili ya taifa Fulani bali lina elezea uzoefu binafsi juu ya watu wenye asili ya huko.
Ulishaga husia wadada zetu ni ukweli mtupu nami nawafahamu sana hawa jamaa kwao pesa ndo kila kitu na wanakuwa na wake zao huko kwao pesa wanazokusanya utuma kwao. Wazungu wengi ulaya wamelizwa sana na hii jamii Mpya ukimtongoza mzungu ye anajua umefata mali tu
 
Hao ndo wajanja Sasa....! Wanaijeria wanatuwakilisha vyema Africans hawacheki na kima big up kwao
 
Back
Top Bottom