DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Tupo so defensive pamoja na ubishi wenu dada zetuWanaume wa kibongo bnaa..
Tupo so defensive pamoja na ubishi wenu dada zetuWanaume wa kibongo bnaa..
Rival wa Jux ni black american lakinTumeshakujua, wewe ni Jux.
Rival wa Jux ni black american lakin
Rotimi sio mnigeria mkuuVanessa anatoka na mnaijeria….
Tumeshakujua, wewe ni Jux.
Jihadhali na wanigeria
Ni wivu tu akina jux mpo wengi kumbeeJihadhali na wanigeria
Kuwa makini dada yanguNi wivu tu akina jux mpo wengi kumbee
Thanks for the advice mkuu,it's well noted.Kuwa makini dada yangu
Kidogo tu ninyang'anywe demu wangu na MnaijeriaNi watu hatari sana huko S.A wenyeji washawachoka.
Witouti ene infomeshoni donti trositi Naijerian 🤣 🤣🤣Tuacheni jomoniii😎
Ogaa abeg abeg plzz...what naa we lovu them naoooo we go die for them,chæiiiiWitouti ene infomeshoni donti trositi Naijerian 🤣 🤣🤣
Hawa jamaa wanajua kuwahadaa sana watoto wa kike, Ni vyema kuwa nao makini sana usiwape nafasi wamzoee demu wako.Kidogo tu ninyang'anywe demu wangu na Mnaijeria
Yu havi badiloki if Yu wonti to bi wit thosi arrogants!Ogaa abeg abeg plzz...what naa we lovu them naoooo we go die for them,chæiiii
Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni.
swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??.
Binafsi nimekuwa na experience ya kuwa na urafiki na hawa watu kipind nilipokuwa nchi mmoja kusini mwaAfrika,Kwa experience yangu ndogo ni watu wenye juhud katika utafutaji lakini mbali na hivyo ni watu wenye kando kando nyingi kuliko watu wa nchi nyingine yoyote barani Afrika.
Ni vyema ukatambua jambo unalojiingiza. Binafsi nimeshaona watu wenye asili ya huko wakiBadili wanawake karibu kila siku atakayokuwa mzima afya, Mtu akimuuza mke/girlfriend wake kwa vikundi vya kihuni ili apate hela, Mwanamke kupelekwa katika madanguro na bwana ake mwenyewe.
Mwanaume kumuuzia msala girlfriend wake na kupata kifungo cha muda mrefu, Watu kuwafanyia some embarrassing sexual activities aibu hata kuvitaja hadharani (wanawake wao)wakiwa katika vikundi na mengine mengi anayefahamu anaweza kuongezea .
N.B.
Andiko hili halina lengo kuchafua watu wenye asili ya taifa Fulani bali lina elezea uzoefu binafsi juu ya watu wenye asili ya huko.
Ulishaga husia wadada zetu ni ukweli mtupu nami nawafahamu sana hawa jamaa kwao pesa ndo kila kitu na wanakuwa na wake zao huko kwao pesa wanazokusanya utuma kwao. Wazungu wengi ulaya wamelizwa sana na hii jamii Mpya ukimtongoza mzungu ye anajua umefata mali tuKatika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni.
swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??.
Binafsi nimekuwa na experience ya kuwa na urafiki na hawa watu kipind nilipokuwa nchi mmoja kusini mwaAfrika,Kwa experience yangu ndogo ni watu wenye juhud katika utafutaji lakini mbali na hivyo ni watu wenye kando kando nyingi kuliko watu wa nchi nyingine yoyote barani Afrika.
Ni vyema ukatambua jambo unalojiingiza. Binafsi nimeshaona watu wenye asili ya huko wakiBadili wanawake karibu kila siku atakayokuwa mzima afya, Mtu akimuuza mke/girlfriend wake kwa vikundi vya kihuni ili apate hela, Mwanamke kupelekwa katika madanguro na bwana ake mwenyewe.
Mwanaume kumuuzia msala girlfriend wake na kupata kifungo cha muda mrefu, Watu kuwafanyia some embarrassing sexual activities aibu hata kuvitaja hadharani (wanawake wao)wakiwa katika vikundi na mengine mengi anayefahamu anaweza kuongezea .
N.B.
Andiko hili halina lengo kuchafua watu wenye asili ya taifa Fulani bali lina elezea uzoefu binafsi juu ya watu wenye asili ya huko.
Ilala wanapouza vipuri used vya magariGereji anayofanyia kazi ipo sehemu gani mkuu?