wanawake wa kipare

inasadikika wanawake wakipare, kijita na kihaya wanafanana tabia kwa asilimia kubwa.
 
we kabila gan? maana hayo uliyoyasema kwenye kila kabila yapo! wahaya wabinafsi,wanyakyusa wabinafs,vicheche,wapogoro wafupi,wangon wanapenda ngono,wazaramo ndio wenye mafiga matatu,wakinga wabahil,washirikina,warang malaya,wanyaturu vicheche,wagogo wachafu,washamba je we ni kabila gan taja kabila lako tukuchambue ushpende kukurupuka ----- we hayo uliyoyasema yana muhusu mtu binafsi na si kabila mbona husem kabila la kiongoz wako mkubwa
 
Mkuu endelea na mChumbaako acha kusikiliza wazushi hapa, hizo tabia alizoeleza mkuu hapo juu inategemea sio kua kila mpare anahio tabia, kinachofanya wanawake wa kipare waonekane wabaya ni kuwa wachumi zaidi yaani wanamikakati na mipangilio mingi ya kuendeleza familia kwa umakini wa hali ya juu,kwahio wanakua na bajeti sana ktk matumizi yao hivyo kuonekana wabahili na wenye roho mbaya wasiopenda ndugu wa mume,

Tutonga na bajeti! Teteteteeeee wapare mpooo! Kazi kwenu, heri mimi kabila langu linasifiwa kwa wanawake wake kuwa wazuri wa 'simple harmonic motion'.
 
Me ninabahati ya kujuaa lugha za makabila 10 ya tanzania kipare kikiwemo, so hii sio sababu ya wewe kusema natokea huko....labda utoe justification nyingine.......

duh basi we ni noma ulivyoki master nikajua lazima unatoka huko.we asili yako wapi .nitajie tu kanda
 
Mchumba wangu ni mpare wa muda mrefu sijaona tabia zozote mbaya kama zinazotajwa hapa mfano wanapenda sana kugongwa nje, xtreme ubahili, chuki kwa upande wa mume etc. More elaboration please:yell::nod:

Wakati wa uchumba wote (wanaume na wanawake) huwa tunakuwa artificial! Oa kwanza kaka ndio ulete uzoefu hapa!
 
Back
Top Bottom