Wanawake wa Kimarangu ni hatari


Hahaha mzuri ni aliyekufa kivipi mkuu?
 
Nilikua nauona huu Uzi ni wa kizushi ila ukweli nimeamini from vivid example ya Mimi mwenyewe!
Yaliyonikuta ni Mungu tu anajua maana sikuamini kama ningesalimika kwa lile dubwana la Kimarangu mixer Mkibosho. Ahsante Mungu kwa kunionyesha TRUE COLOR ya huyu mwanadada maana kwa jinsi alivyokua akiji-pretend bado siamini kama ni yeye Mnyama vile.

Wadau wangu wa hili jukwaa imeandikwa muishi na wake zenu kwa akili. Ila kwa mwanamke wa Kimarangu inahitajika akili ya Ziada zaidi ya hii iliyotajwa huku kwenye hivi vitabu vitakatifu.

Nashukuru nimetoka salama wa salmini, thanks God!
 
cha ajabu kila siku nenda kwenye matangazo ya harusi idadi ya wanawake wa kichaga kuolewa ni kubwa zaid kuliko wanawake wengine.

mie ni mmachame orijinooo na nasema kweli sichukii mkisema tunaua wanaume ila mie mue ninae mwaka wa 17 huu na mtasubiria wee mwishowe mtaskia tumefikia miaka 50 ya ndoa.
kiruuuuu mandede!!
 

Wachaga sio kwamba wanaolewa sana sema wanapenda sana harusi.Wapo wengi wanaolewa lakn sio kwa harusi.Bila harusi n ngumu kumuoa mchaga.
 

Baada ya kuolewa hizo ndoa ni ngapi zinadumu?
 
Natafuta mmachame wa kuoa...ka vipi ani pm fasta

Ninyi mnawakimbia....Leta Toto za kichaga hapa
 
Tuseme kwa ujumla wanawake wa KICHAGA (karibia wote i.e. MARANGU, MACHAME na OLD MOSHI with exception ya Wa-ROMBO) ni shida kubwa sana MAPENZI SIFURI.
 
Wamarangu wamezidi kwa mikogo ya ajabu ajabu, dharau zisizo na mpangilio, na miguu ya myembamba ka fito! Siwapendi hata bure siwataki mmamazao!!
 


Pole sana Mkuu...
Hawa ni kugonga na kutembea mbele, au unakula unakwenda... usijifanye una mapenzi nao, UTAUMIA... ole wako hela zikuishie kidogo ktk ndoa NDIO UTAWAJUA MASH.ETANI haya... utajuta...
 
Wote ni walewale mkuu ... Nimebahatika kuishi nao wote weee ... Afu ni wambea sijapata ona na ni panya anang'ata na kupuliza.
Kwamba sumu huku kaweka kaseti ya dini sio!, hahahaaaaa~kumbusha mbaali saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…