1.wapole
2.wanapenda kugechwa(kudundwa)
3.wana akili sana
4.wavumilivu
5.awajui kupika....
ehh jaman m kidng bwana auwez kudicrib mtu kwa kabila lake..waweza kuta mkurya lakn asiwe na sifa ata moja apo juu
kila bnadamu ana swaga zake.
nawasilisha..its me nyambura.
Yaani utadhani ulikuwepo akilini mwangu, Uko sawa kabisaa