Mizimu ๐น๐นSema wana mizimu mikali sana, mizimu ya wakurya ni kama ya kimasai..
Lakn waganga hao sijawaona kabisa aisee!
๐น๐น๐น Hao gawa gawa kiongozi..!!Kumbe! Ndo maana yule shemeji yangu Mkurya (mke wa rafiki) alinipea kitumbua bila hiyana.
๐น๐น๐นWapi imekatazwa si uchoyo wao tu
So kinekuuma kisa ukweli huna imani imani ndio inakuonyeshA watu wasio wema kwao nyie niwauaji walitaka waniue .Mbona wewe hawakukuroga?
Ulijuaje kuwa ni wachawi kama na wewe sio mchawi mlikua mnapaa wote na ungo?
hizi facts mbili zimenitisha sana, zingine nazimuduWewe kama ni kabila tofauti na wakurya sikushauri uoe mwanamke wa kikurya sababu ni hizi
โ wengi wao ni wababe sana ugomvi hauwezi kuisha
โ kwenye kupigana jitahidi visu mapanga unaweka mbali ๐
โ mwanamke wa kikurya humpigi bali mnapigana
โ Wanaviburi vya asili sana
โ ugomvi kidogo wanakimbilia mapanga hao watu sio salama kbs
โ Kwenye uchawi pia usipime hawa ndo huwa wanaroga wanaume unakuwa zuzu
โ Akienda kwao akirudi lazima awe na mafurushi ya dawa za kienyeji
โ Afu wengi wanaongea sana unakuta mwanamke anabishana na mme kama mtoto wake.
NB: Wazaramo na Tanga msijaribu kila siku mtakuwa mnapigika tu.
Wasukuma wanashindwana na mkurya sababu ya uchawi wakurya hawarogeki kirahisi ni mara chache sana kukuta ndoanya mkurya na msukuma inaamani
Sasa ndo napata picha..Sawa ila mizimu ni ya kwenu sio yetu walinitupia ugonjwa wa mguu nilioukanyaga geiti la hoteli wakati ninapita walitaka kuniua wakaniwekea sumu kwenye chakula.
WAkaona sijakila wskaniwekea majambazi ile siku ni mungu tu
Nashukuru alihamia mkoa fulani na mumewe walau distance imekuwa kubwa, na hatujaonana muda mrefu.๐น๐น๐น Hao gawa gawa kiongozi..!!
WIvu nilitoka arusha pap nikapewa kuwa manager nikaanza kuwapa kazi zakufanya hapana hao ni wakurya kama ni gita nawajua hawana shidaSasa ndo napata picha..
Inawezekana tukio lilitokea ukuryani lakini watendaji ni kabila lingine..hayo ya kurushiana ugonjwa nayasikia huko ujaluon, majita, tanga na kwingneko..
INAONEKANA ULISUGULIWA NA MME WA MTU, MAANA SI KWA HARAKATI HZO.
Yaani hawaendani...Mwanamke wa kikurya anatakiwa aoelewe na mwanaume wa kizanzibari.
Wanapenyezewa maneno flani hv wanalainika kama mlenda
Hoteli gani hyo mama au ofsi gani hyo ukinamby nitakwamby kituWIvu nilitoka arusha pap nikapewa kuwa manager nikaanza kuwapa kazi zakufanya hapana hao ni wakurya kama ni gita nawajua hawana shida
Nguvu na akili wapi na wapi,wale wanataka matumizi ya nguvu na sio akiliMwanamke wa kikurya anatakiwa aoelewe na mwanaume wa kizanzibari.
Wanapenyezewa maneno flani hv wanalainika kama mlenda
Wanakeketwa ndo tatizo linaanzia hapo..!! ๐ฅ๐นNashukuru alihamia mkoa fulani na mumewe walau distance imekuwa kubwa, na hatujaonana muda mrefu.
Ili isaidie nini sasaHoteli gani hyo mama au ofsi gani hyo ukinamby nitakwamby kitu
HahahahaaaIli isaidie nini sasa
Kabila gani unanishauri nioe ambao hawagawi?๐น๐น๐น Hao gawa gawa kiongozi..!!
Lady jaydee sio mkurya. Sio kila mtu wa mara ni mkurya .Kupitia uzi huu nimegundua kwa haraka haraka mkurya nayemjua ni Lady Jaydee pekee
Kabila la wakurya ni wachache ama?
Wahdazbe ๐Kabila gani unanishauri nioe ambao hawagawi?
Hakukuwa na kabila lingine ni wakuryaHahahahaaa
Nyie mlilogana watu kuja, wakurya hawana hzo pigo hata kdogo