Wanawake wa Kikenya

Wanawake wa Kikenya

hahaha,,nimekumbuka ile issue nikacheka sana,mcng u!


Yaani we acha tu mtu wangu hawa watu ni matatizo matupu na kama ukijidai mtanzania kweli mzalendo na mpenda amani ya kitanzania ukaenda kumtafuta mtu wa karibu yake yaani mkenya mwenzake kwamba atumie busara kidogo ajaribu kuongea na ndugu yake aache wenge na atulie utashangaa wanaungana na kuwa kitu kimoja yaani unajikuta kesi ya nyani umempa ngedere then anakuwa adui yako kabisa na anampa mbinu nyingine kali zaidi ya kukukera.
KIFUPI HAWA WATU HAPANA SIYO KABISA CPENDI UBAGUZI LAKINI HAWA HAWABEBEKI HATA NA MBELEKO YA CHUMA
 
Yaani we acha tu mtu wangu hawa watu ni matatizo matupu na kama ukijidai mtanzania kweli mzalendo na mpenda amani ya kitanzania ukaenda kumtafuta mtu wa karibu yake yaani mkenya mwenzake kwamba atumie busara kidogo ajaribu kuongea na ndugu yake aache wenge na atulie utashangaa wanaungana na kuwa kitu kimoja yaani unajikuta kesi ya nyani umempa ngedere then anakuwa adui yako kabisa na anampa mbinu nyingine kali zaidi ya kukukera.
KIFUPI HAWA WATU HAPANA SIYO KABISA CPENDI UBAGUZI LAKINI HAWA HAWABEBEKI HATA NA MBELEKO YA CHUMA

Nimekusikia mkuu
 
I have met two chaps at different places married to Kenyan women. What i saw is that tehy like to be dominant in the family, to an extent of beating their husband. This behavior is more prominent with Kikuyus. You cant change them. BEWARE.
 
I have met two chaps at different places married to Kenyan women. What i saw is that tehy like to be dominant in the family, to an extent of beating their husband. This behavior is more prominent with Kikuyus. You cant change them. BEWARE.

Thank you for that piece of advice!
 
Nimekusikia mkuu

Ila unaweza kuendelea kumega siyo mbaya kama ana mvuto ila kwa kuoa mshikaji tafuta mndamba mwenzako au mnyamwezi you can use them 4while but the right person ambaye utammudu na kuweza kumwelewesha unapenda nini na hutaki nini
 
Ila unaweza kuendelea kumega siyo mbaya kama ana mvuto ila kwa kuoa mshikaji tafuta mndamba mwenzako au mnyamwezi you can use them 4while but the right person ambaye utammudu na kuweza kumwelewesha unapenda nini na hutaki nini

Sounds like jamaa amefika na ana baah baah banjukaaa tuuu
 
Yaani we acha tu mtu wangu hawa watu ni matatizo matupu na kama ukijidai mtanzania kweli mzalendo na mpenda amani ya kitanzania ukaenda kumtafuta mtu wa karibu yake yaani mkenya mwenzake kwamba atumie busara kidogo ajaribu kuongea na ndugu yake aache wenge na atulie utashangaa wanaungana na kuwa kitu kimoja yaani unajikuta kesi ya nyani umempa ngedere then anakuwa adui yako kabisa na anampa mbinu nyingine kali zaidi ya kukukera.
KIFUPI HAWA WATU HAPANA SIYO KABISA CPENDI UBAGUZI LAKINI HAWA HAWABEBEKI HATA NA MBELEKO YA CHUMA

maneno mazito hayo unaambiwa ndugu yangu!!
 
Niliona Jamaa mmoja kanywa sumu na kujiua baada ya mdada wake wa Kikenya kufilisi mali ya huyo yooote sijui alifanya manuva gani akauza ,gari ,nyumba na kila kitu na kumwambia hana mpango nae akatafute mke TZ
 
Niliona Jamaa mmoja kanywa sumu na kujiua baada ya mdada wake wa Kikenya kufilisi mali ya huyo yooote sijui alifanya manuva gani akauza ,gari ,nyumba na kila kitu na kumwambia hana mpango nae akatafute mke TZ

huyu kaka yetu nae ndiko anakoelekea:coffee:
 
kaka wajua ukisemacho?,,,, wajua mkoa wa nyanza upo sehemu gani ya kenya na wakazi wake ni makabila yapi na yana tamaduni zipi? Hebu fatilia kwanza ndipo useme hayo mambo ya ukeketaji na tohara.

Seto, Hawajui much about kenya, wanasikia tu story ndo maana! wasamehe bure
 
Duh.... hizi page tisa kweli zinatisha na zinaweza kumfanya Mdau Sherrif abadilishe uamuzi wake wa kuendelea na huyu dada... LAKINI..
Je haiwezekani kwamba huyu Dada yupo tofauti na hao wengine?, pili labda tuwape Chance wanye mtizamo tofauti ili Mdau apate upande mwingine wa shilingi.., after all haiwezekani kwamba hawana mazuri hata kidogo...,

Mimi naomba kuuliza ni yapi mazuri ya dada hawa ili Sherrif angalau apate positives sababu negatives zimekuwa nyingi kwenye hii post.. au hazipo?
 
mwanamke aliyezaliwa na kukulia kenya hana mapenzi kwa sababu anakupenda bali kwa sababu nyingine. mali ndicho kitu cha kwanza kabisa lakini hawatakuonesha ingawa unaweza kuona tangu mwanzo anakuwa na tabia ya kununua vitu vyake mwenyewe. hakuna mipango ya pamoja ya wapendanao au familia. Pia wengi huwa wanakuja kuolewa huku ili wapate uraia wa tz na waweze kuvusha ndugu zao kuja huku. utakumbuka kwamba wajaluo wote wa kenya hujiita watz wa Mara.
 
Duh.... hizi page tisa kweli zinatisha na zinaweza kumfanya Mdau Sherrif abadilishe uamuzi wake wa kuendelea na huyu dada... LAKINI..
Je haiwezekani kwamba huyu Dada yupo tofauti na hao wengine?, pili labda tuwape Chance wanye mtizamo tofauti ili Mdau apate upande mwingine wa shilingi.., after all haiwezekani kwamba hawana mazuri hata kidogo...,

Mimi naomba kuuliza ni yapi mazuri ya dada hawa ili Sherrif angalau apate positives sababu negatives zimekuwa nyingi kwenye hii post.. au hazipo?

Mkuu, nipo!
Bado naendelea kuyapokea maoni na mitazamo yetu. Nitayachunguza yote yaliosemwa. Bado nakaribisha maoni yenu
Ahsanteni sana
 
Mkuu, nipo!
Bado naendelea kuyapokea maoni na mitazamo yetu. Nitayachunguza yote yaliosemwa. Bado nakaribisha maoni yenu
Ahsanteni sana

Mkuu Since hapa umepata negatives naomba utoe mazuri yote ya Girl Friend wako ili tuweke uwiano mzuri sababu hapa naona sio fair kumshambulia mtu bila kumpa chance ya kujitetea.
 
Mkuu Changanya na zako!Kama yaliyosemwa hapa yote hayaendani nae fuata moyo wako!Kesho utataka kujua Mchagga then Mluguru mara sijui Mhaya...utamwagiwa negative tu!Tofauti ni kwamba wenyewe wenye hayo makabila watakuwepo kujitetea...sasa hivi hamna Mkenya kwahiyo wabongo wanakanyaga tu!
 
Back
Top Bottom