Wanawake wa Kikenya

Wanawake wa Kikenya

wananuka soksi...labda uwapate wale wa mombasa kwenye manukato ya pwani...utani tu lakini...si wateni zetu hao jamani?ahaha
 
si wote lakini katika watanzania watatu ninaofahamiana nao amabao waliolea huko wote wameachana na wanawake hao wa kikenya; na moja amekwishafariki. Mnaweza kuishi hata miaka 20; lakini siku uchumi wako ukayumba ndio mwisho wako...........ole wako!
 
wa kwenu ndo hawapendi pesa? Wapi huko nije?

Mapishi zero. Hawajui kupika kabisaa zaidi ya sukuma wiki na sembe.
Wote wamekeketwa/wametahiriwa hivyo 6x6 hamna kitu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
mapishi zero. Hawajui kupika kabisaa zaidi ya sukuma wiki na sembe.
Wote wamekeketwa/wametahiriwa hivyo 6x6 hamna kitu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

kaka wajua ukisemacho?,,,, wajua mkoa wa nyanza upo sehemu gani ya kenya na wakazi wake ni makabila yapi na yana tamaduni zipi? Hebu fatilia kwanza ndipo useme hayo mambo ya ukeketaji na tohara.
 
kaka wajua ukisemacho?,,,, wajua mkoa wa nyanza upo sehemu gani ya kenya na wakazi wake ni makabila yapi na yana tamaduni zipi? Hebu fatilia kwanza ndipo useme hayo mambo ya ukeketaji na tohara.

Mkuu, makabila yooooote ya huko Kenya ukiondoa wale wa Mombasa wanawafanyia wanawake huo unyama. Bisha?
Na upishi hawajui. Period!
 
mkuu, makabila yooooote ya huko kenya ukiondoa wale wa mombasa wanawafanyia wanawake huo unyama. Bisha?
Na upishi hawajui. Period!

ndiyo maana nilikuuliza unajua usemacho?

Zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wa nyanza ni waluo ambao hata hapa tanzania, uganda, ethiopia, sudan na congo wapo. Na hawa watu kitu tohara hakipo kwani hata hao wanaume wao zamani na hata baadhi leo kutahiriwa ni mbinde. Hawa watu wanafuga na wakulima wa mazao mengi tu, so unaposema hawajui kupika zaidi ya sukuma wiki na sembe nashangaa......
 
Mkuu, makabila yooooote ya huko Kenya ukiondoa wale wa Mombasa wanawafanyia wanawake huo unyama. Bisha?
Na upishi hawajui. Period!

Hiyo ni hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja

Unawajua wajaluo?
 
ndiyo maana nilikuuliza unajua usemacho?

Zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wa nyanza ni waluo ambao hata hapa tanzania, uganda, ethiopia, sudan na congo wapo. Na hawa watu kitu tohara hakipo kwani hata hao wanaume wao zamani na hata baadhi leo kutahiriwa ni mbinde. Hawa watu wanafuga na wakulima wa mazao mengi tu, so unaposema hawajui kupika zaidi ya sukuma wiki na sembe nashangaa......

Mtoa mada hajasema kuwa huyo manzi wake ni Mjaluo. Kujua kulima na kufuga haimaanishi ndio kujua mapishi pia. Jamaa akae chonjo manake ajiandae kulishwa SUKUMA na SEMBE kutwa mara tatu kama dozi ya dawa
 
Embu songesha huku mimi iko taka mkeiii si wajua mimi niko na chapaa nataka nipate manzii mmoja hivi wa kule westii ndio wako poa mazee
 
Embu songesha huku mimi iko taka mkeiii si wajua mimi niko na chapaa nataka nipate manzii mmoja hivi wa kule westii ndio wako poa mazee

Ati?
Acha njaro zako mazee.
Hebu furuta iyo handle ya generator Tanesco wamekata stima huku pande ya westiii. Mazee hii stima ya mgao sio mchezo. Ngoja nipande ma-three naelekea pande hii ya mjini.
Tuonane.
 
Mkuu mbona hasira...., mimi nime state the facts kwamba ushauri uliompa mkuu hapo juu, wewe mwenyewe hauufati which means unakuwa Hypocrite

Definition of HYPOCRITE

1
: a person who puts on a false appearance of virtue
2
: a person who acts in contradiction to his or her stated beliefs or feelings

Sasa kama unabisha soma post zangu za majibu yako na maswali yangu tuone kama nimekosea.....
 
Ati?
Acha njaro zako mazee.
Hebu furuta iyo handle ya generator Tanesco wamekata stima huku pande ya westiii. Mazee hii stima ya mgao sio mchezo. Ngoja nipande ma-three naelekea pande hii ya mjini.
Tuonane.

Aisee pitia California ukiwa kwenye ma-three ukuje na tusker za baridi na nyama choma si wajuaga huyu mbugua na kimani vile nakuwa na come huku kucheki game pia pitia kwa bank pare kuna manzi mkare kweli alisema sato atakuja home
 
Aisee pitia California ukiwa kwenye ma-three ukuje na tusker za baridi na nyama choma si wajuaga huyu mbugua na kimani vile nakuwa na come huku kucheki game pia pitia kwa bank pare kuna manzi mkare kweli alisema sato atakuja home

Jamani sasa mbona mnawageza shemeji zangu?
 
Tz wadada wamejaa tele, oa kwenu tu kakaangu hao unaowasema wana wezana wao kwa wao i mean na wanaume zao. We ulishazoea kubembelezwa, kupikiwa, kufuliwa, kuheshimiwa kama mume huko unakotaka kwenda hakuna hata kimoja hapo usijejuta badae wanaume zao wenyewe wanatamani huku.
 
Back
Top Bottom