stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,214
Kuna mtu anaishi mitaa ya huko Manyara alikuwa ananipasha habari za hao wanawake wa Ki iraq hata wiki haijapita,kwenye swala la kugawa anasema sio wachoyo kabisa,kusema NO wakati anaombwa mavituz kwao ni kosa la jinai,na wengi wao nasikia pia hawana kile ki nonino ila aliwasifia,most of them ni wazuri sana.Kwa urembo hawa wadada wa kabila hilo ni warembo jamani!
Lakini naomba mnijuze ni kweli nao wana mila za kukeketa watoto wa kike angali wadogo? Maana katika pitapita zangu niliwahi kutana na mmoja hakuwa na hiyo kitu wala mashavu yaani ni flat kabisa.