Kigoma 2015
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 371
- 93
Mpe pole sana mwambie hapana chesea watu ya Kigoma
Habari wana jf.
Rafiki yangu mmoja amenisimulia juu ya bro wake aliyeoa mke kutoka kigoma. Sasa jamaa alikuwa anatoka nje ya ndoa ila kila akikutana na hawara yake, jogooi hasimami ila akirudi kwa mkewe mambo shwari, amehangaika sana mpaka kwa waganga ndipo akaja kuambiwa kuwa wanawake wengi wa kigoma kuna dawa wanatumia kwamba ukienda kwa mwanamke mwingine huwezi fanya lolote ila ukiwa kwa mkeo mambo yanakuwa safii! Wadau mnalizungumziaje hili, kuna ukweli wowote?