Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,893
Tutajuaje kama nawe hutumii hiyo dawa? Tena kuna staili nyingi kuna wengine mwanaume akitoka nje ya ndoa huko mwanamke anayekutana naye anaanza bleed ya ghafla na mchezo unaishia pale, CHEZEA KIGOMA WEYE???????
Mwana Mpotevu, amini nikisemacho bwana mbona unataka kuwa tomaso lol..kimsingi nilitaka nipoint out kuwa yaweza kuwa tabia ya mtu binafsi au watu wachache lkn si vema kugeneralize maana hawa watu wanapatikana mkoa wowote TZ