Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

nyie wanafki mnawasifia dada zetu hapa halafu mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.

enewei wakija huko tunawapa mission na watawanyoosha.
Ona sasa hawa wanaoukumbatia ufukara. Sasa ndugu yangu unaoa makalio makubwa unategemea nini? Oa kwa vigezo na kilichomo kichwani na siyo makalioni.
 
Hata mimi nikizaliwa tena nitaoa mwanamke wa kichaga "Anakunyima Hela harafu anakuuliza Hela ziko wapi na umeingiza shilingi ngapi leo"

Yesu Mbabe sana wanastahili kwenda kuweka maua Mengii sana

images (3).jpeg
 
Hata mimi nikizaliwa tena nitaoa mwanamke wa kichaga "Anakunyima Hela harafu anakuuliza Hela ziko wapi na umeingiza shilingi ngapi leo"

Yesu Mbabe sana wanastahili kwenda kuweka maua Mengii sana
images (3).jpeg


Kwenye Kaburi la YESU
 
Mabinti wao,watamu sana
Hata mimi nikizaliwa tena nitaoa mwanamke wa kichaga "Anakunyima Hela harafu anakuuliza Hela ziko wapi na umeingiza shilingi ngapi leo"

Yesu Mbabe sana wanastahili kwenda kuweka maua Mengii sana

images (3).jpeg


Kwenye Kaburi la Yesu kile kichapo kilikuwa kikali sana - Wana mademu wakali ingia instagram utawaona na Vipanga sana Darasani

Wana GPA 4.1
 
Back
Top Bottom