Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
<br />aaaahhhhh ooooooook<br />
nauli mmmmmmhhh<br />
Hembu ngoja ngoja <br />
nikaangalie kule bank.....lol
<br />
Waiting for i t
<br />aaaahhhhh ooooooook<br />
nauli mmmmmmhhh<br />
Hembu ngoja ngoja <br />
nikaangalie kule bank.....lol
<br />
<br />
Waiting for i t
Tena heshima nfoinakuwepo wazee kwa wazee!!Ila mimi Ninachoamini siendi kukula nyama hata kama nimzee mimi sitahusika nalolote, ila mguu watatu hauangalii uzee au ujana wenyewe nipaleeeee!!basinakumbuka wahenga walisema ng'ombe azeeki?................Unakaribishwa ila une na Ambulance ya kukupeleka muhimbili fasta na hizi foleni unaweza kufa kabla ya kufika huko unakotakiwa kwenda.
karibu sana utuone wengine ni wazee ukituona hata hamu ya ku-do inakuisha.
niwaoe wote niwe kama King Mswatti!Emungu bariki!!
Mhhhhhhhhh!Kuna kibabu pale Magomeni Mwembe Chai kinauza majini mahaba, ntakupeleka, yaani hata ukipata wanawake 20 kwa usiku mmoja utakuwa hujakata kiu yako bado
Mguu wa tatu???Tena heshima nfoinakuwepo wazee kwa wazee!!Ila mimi Ninachoamini siendi kukula nyama hata kama nimzee mimi sitahusika nalolote, ila mguu watatu hauangalii uzee au ujana wenyewe nipaleeeee!!basinakumbuka wahenga walisema ng'ombe azeeki?................
Ujanielewa??nimesema wa JF hao wa kwakibabu hawapo jf kwahiyo ni mewadskolifai!!!nahitaji jf members only!Kuna kibabu pale Magomeni Mwembe Chai kinauza majini mahaba, ntakupeleka, yaani hata ukipata wanawake 20 kwa usiku mmoja utakuwa hujakata kiu yako bado
Mbwa koko huwa wanabweka sana ukigeuka kama unamfukuza anafyata mkia huyoooooNahisi huenda ni kinyume. Si unajua mbwa anayepiga kelele hana meno!
Dont take it so personal, hii thread imejaa utani kama wewe ulivosema unataka uwowe wanawake wote wa JF, ulimaanisha?Nitakeni radhi!
Bila mabinti kutakalika kweli
Nimekutumia namba yangu ya kilonga naomba yakwako ingia inbox uone kama ninaona aibu kama wewe ujaanzakusema nipo Australia!mara kimeenda kimerudi!KK
Nasikia unaona aibu hata kusoma pm za wanawake wa jf??
Baelezee bandugu ni mamba kumai na buruta!!kabla hamjaenda mpitie hapa chumbani mpate tuisheni...maana namfahamu huyo KK akianza hamalizi mpaka amefka saba hivi...!!!!!, msije mkaanza mayowe hukooo!!